Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

Mbwa akikuzoea saaana mwishoe utaingia nae msikitini. Clouds ni TV pendwa ya Mheshimiwa ila kwa sasa naona kuna jambo wanalitafuta. Kama kuonywa wameshaonywa sana na TCRA kuhusu hizo habari za ushoga lakini bado wameng'ang'ania kuzitangaza. Kama faini kulipa wameshazoea kuzilipa kwa ajili ya kutangaza ushoga. Ni wakati sasa wa TCRA kufikiria adhabu nyingine.
Ukumbuke wao ni watu wazima na wanaelewa kipi wanakifanya na hayo matangazo yamesharushwa na kutizamwa na jamii kubwa, hapa ipo namna sio bure, au wanataka (ingawa sio rahisi) tufikirie kwamba hao wakubwa ndio wamewatuma watutangazie hizo habari za ushoga?
nina imani kuna wakubwa wengi tu wana support hizo habari (sijui kwa benefits zipi). haiwezekani stesheni kubwa kama ile kukumbatia mambo ya ajabu kama hayo. adhabu pekee inayowafaa ni kufungiwa tu,sio kulipishwa faini wala kukemewa tena kwa simu!! inatia kinyaa sana
 
nina imani kuna wakubwa wengi tu wana support hizo habari (sijui kwa benefits zipi). haiwezekani stesheni kubwa kama ile kukumbatia mambo ya ajabu kama hayo. adhabu pekee inayowafaa ni kufungiwa tu,sio kulipishwa faini wala kukemewa tena kwa simu!! inatia kinyaa sana
Well said!
 
Kapiga Simu kama nani labda?
TCRA kazi yao nn hasa?
Nape je unajua kufungia vyombo vinavyotufungua macho tu?
 
Najiuliza TCRA wako wapi? Waziri mwenye dhamana ndugu Nape atachukulia poa? Au kwa sababu ni washikaji watakausha?
NB: Hili jambo likifumbiwa macho jamii yetu itapata athari mbili;
1. Watoto wataona ni jambo la kawaida
2. Wapo watu na misimamo mikali hawatakubali hili liendelee sisi siyo kisiwa.
Watu wajue asili ya ndoa ni Mume na mke, fullstop.
 
Najiuliza TCRA wako wapi? Waziri mwenye dhamana ndugu Nape atachukulia poa? Au kwa sababu ni washikaji watakausha?
NB: Hili jambo likifumbiwa macho jamii yetu itapata athari mbili;
1. Watoto wataona ni jambo la kawaida
2. Wapo watu na misimamo mikali hawatakubali hili liendelee sisi siyo kisiwa.
Watu wajue asili ya ndoa ni Mume na mke, fullstop.
Ingawa wengi wamechukizwa na hiki kitendo na wamekuwa wakirudiarudia hizo habari usijekuta na hili likafumbiwa macho kwa kuwa tunaaminishwa kwa hicho kituo ni TV pendwa ya wakubwa
 
Huu ndio Muda mwafaka Wa kuisimamia maadili ya taifa letu Na kusimamia maandiko ya Mwenyezi Mungu kwanza serikali ionyeshe mfano kwa vituo vingine wapewe adhabu Kali Na ni vizuri Na niwakati sahihi Wa Mungu kuwaonyesha viongozi wanafiki watakaoshindwa kukemea Na kukifungia kituo hiki kinachotazamwa Na idadi kubwa ya viongozi Wa awamu hii
 
Wanipe Ak 47 full magazine wanionyeshe Na magasho walipo nikawapunguzie watanzania stress
 
Tumeona magazeti yanafungiwa muda usihojulikana waziri husika huu ndio wakati Wa kufanya kazi yako hapa ata Mwenyezi Mungu atakuunga mkono wameonyesha kipindi kilichokiuka maadili yetu Tanzania
 
Huyu ndiyo makonda anayekemea ushoga au mwingine?

Maisha bila unafki hayaendi kweli
1467186226546.jpg
 
Back
Top Bottom