Kuna point kubwa sana ya kisaikolojia kaikosea kwenye kuandaa kipindi chake binafsi niliona tangazo lao mapema nikalinda Chanel baadae sikuangalia
Wataalamu wa kuandaa vipindi kama vyake huwa wanawaficha uso wahusika na kuwaweka kwenye muonekano ambao unahuzunisha na kudiscourage wengine kabisa wasifanye sio unamremba mtu na kumpa uwanja free ajiachie kisha unasema unazuia tatizo.
Kifupi yule mwathirika alipaswa kupewa nafasi ndogo sana ya kuongea na sehemu kubwa zaidi aongee na watalaamu na washauri wengine.
Upande wa Paul ametetea asubuhi katika namna ambayo sio sahihi wao wameishia kuwalaumu watu waliokosoa badala ya kuangalia walipokosea BBC Swahili hutangaza habari kama hizo Mara kadhaa na ukiangalia utaona kabisa content ina discourage sio kama zamaradi.