Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

Makonda anataka kuwalea hawa Clouds, angelipeleka hili swala moja kwa moja TCRA ili hawa wanaochezea maadili ya mtanzania wapate stahiki yao. Ushoga sio kilema, ni hulka na tabia mbaya. Omar Mateen aliwakomesha mashoga wa marekani kwa tabia zao zisizompendeza Mungu
Kwa nini asimpeleke kwanza huyu Polisi kama kweli anachukia matendo ya hawa jamaa?
1467186226546-jpg.361133
 
Inanishangaza kidogo viongozi waandamizi kupiga simu moja kwa moja kwny kituo binafsi cha TV.

Kwanza, wanakitangaza sana bila wao kujua, pili wangetuma tu wasaidizi wao kutekeleza maagizo yao.
Tatu, katika ushindani wa vyombo vya habari wanazidi kuizamisha ile TV ya taifa iliyokosa mvuto.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amepiga simu moja kwa moja (live) kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachomhoji mtayarishaji wa kipindi kilichorushwa jana cha Take one Zamaradi. Kipindi hicho kilimuonyesha maisha ya shoga almaarufu KANGE.
Mahojiano yaliyokemewa na Makonda haya



binafsi huwa siwapendi kabisa hawa jamaa,sijui huwa wanajisiaje kwa matendo yao
 
Kitendo cha TV Clouds jana kuwa na kipindi maalumu ambacho kilikuwa kinazungumzia ushoga, na kumkaribisha shoga mmoja ambaye alipewa airtime ya saa nzima na kujifanyia promosheni na kuonyeshwa kote ambako station hiyo inafika, ni kinyume na maadili ya mtanzania.

Kitendo hicho cha kishenzi kinakwenda kinyume kabisa na utamaduni na heshima tuliyonayo kama watanzania, ambao tunalaani aina zote za ushoga. Ninatumaini vyombo vinavyohusika vitachukua hatua kali sana dhidi ya shoga huyo na wale wote waliomfanyia promo. Imagine vijana wengi, ambao ni wapenzi wa station hiyo wanaona picha gani?

Mimi bado ninayo maswali mengi sana juu ya utangazaji wa Clouds media, ambao kwa kiasi kikubwa umekuwa ukikiuka maadili ya tasnia ya utangazaji na unajiuliza kama ipo haja ya kuendelea kuwa na stations zinazochochea mmomonyoka wamadili kiasi hiki.

Huku nyuma vimewahi kusikika visa vya watangazaji kutukanana na hata kupigana wakati kipindi kinakwenda live.

NB: HATUA ZICHUKULIWE SASA DHIDI YAO, MAANA HATUJUI KESHO WATAKUJA NA NINI!

Kama MTU anapinga ushoga awe tayari kupinga dhana ya GENDER EQUALITY. Hauwezi kupinga ushoga wakati huo huo ukawa mwanaharakati Wa gender equality.

Mkihubiriwa habari za gender equality mnafurahia watoto wenu wakiwa mashoga mnakasirika.
 
Matatizo mengi katika jamii yatatuliwa kwa kutumia akili na msaada wa Mungu.. wala sio mihemko.. adhabu kali au kupiga simu kwenye Radio na TV na kukemea...

Haya tunayoyafanya wenzetu wameshayafanya tena in more harsher way.. lakini hawakufanikiwa.. the rest ni story.. mnajua kinachoendelea huko kwa waliotupita kimaendeleo kuhusu suala la ushoga..

So kabla hujacomment.. jiulize unatumia akili?? Maana kama hivi vitendo vinaendelea huku tunavikemea ina maana wanaovifanya wametuzidi akili.
Kwa hiyo akili nikuwapa airtime.
 
TBC wanajua hawatopata kiki maana wataosikia ni ambao hawana hata account facebook na hawajui hata insta ni nini.
 
Sasa si ungewaambia hao wafungiaji wa tv ndio wawafungie hii station pamoja na redio yao ndio inakuwaga brand super kila siku mpaka hii yaa awamu ya tano iliwahi kupiga simu live redioni kutoa pongezi nawew leo hii unataka wafungiwe???
 
Sasa amekasirika nn? Kazi ya media ni kuburudisha na kufundisha jamii..kipindi cha jana kimetoa somo kubwa katika jamii au ni mteja wake?
 
Media haiwezi kujitangaza kwa kupigiwa simu na rais na TV haiwezi kudhoofishwa kwa kutopigiwa simu. Hizi ni mada za kutupotezea muda.
 
Kumhoji shoga ni sawa na kuupromote huo ushoga.
Mashoga aka wanuka vinyesi hawapaswi hata kutazamwa au kuongea nao maana wananuka uchafu.
 
Anza kuifungia nyumbani kwako iwekee password kabisa isionekane nyumbani kwako hicho ndio cha muhimu anza sasa wakikosa watu watajua makosa yao maana tumeona magazeti yanafungiwa maisha hii TV nayo ifungiwe
 
Inanishangaza kidogo viongozi waandamizi kupiga simu moja kwa moja kwny kituo binafsi cha TV.

Kwanza, wanakitangaza sana bila wao kujua, pili wangetuma tu wasaidizi wao kutekeleza maagizo yao.
Tatu, katika ushindani wa vyombo vya habari wanazidi kuizamisha ile TV ya taifa iliyokosa mvuto.

Sasa kama wanajua kuwa vyombo vya habari Taifa vinatangaza taarifa zilizo doctored, na wanazijua tayari, kwa nini waendelee kuzisikiliza?
 
Kwani hiyo station si nasikia watangazaj wake wingi ni nanihiiiiii
 
Back
Top Bottom