Mashoga wapo, kama makahaba na watumiaji madawa ya kulevya.
Wafanyakazi wa Afya tunajua haya zaidi, kwa kuwa wanakuja kutibiwa kwetu.
Ni - me/na - fanya kazi kwenye GOT/NGO'S.
Hizi ni "SUPPORTIVE PREVENTIVE METHODS" dhidi ya maambukizi ya VVU.
KWA MFANO;
1. Watumiaji madawa ya kulevya kwa kujidunga sindano wanaambukizana VVU kwa kuchangia sindano, hivyo wanapewa syringes special ambazo ni unreceycled huku wakiendelea na matibabu ya METHADONE & ushauri. Tunajua vita dhidi ya Addiction yoyote ile sio lelemama.
2. Ni MSM (Men who have sex with Men); Wako kwenye risk kubwa ya kuambukizana VVU & tunao kwenye CLINIC zetu. Ndo ikaja njia ya kuwapa hivyo vifaa kujikinga lakini muda huo huo WANAENDELEA na matibabu & ushauri nasaha.
3. Makahaba wenye VVU; Hawa hupewa dawa & condoms pia. Najua wateja wa makahaba mpo hapa.
Nk....
SIUNGI MKONO USHOGA hata kidogo ILA kuwepo katika SEKTA ya afya kumenifundisha mambo mengi katika umri huu mdogo.
Ukikaa na kuzungumza na hayo makundi 3 niliyotaja, unaweza kutoa machozi.
Cha msingi vita hii IANZIE kwenye NGAZI YA FAMILIA.