Makete mbabe wa baridi Tanzania nzima

Makete mbabe wa baridi Tanzania nzima

mufind ndo mwisho wa maelezo

IMG_1289.JPG
 
Aah makambako mkuu???mbona hata kwenye list siiweki coz napajua nilishawahi kukaa km wiki 3 enzi hizo nipo darasa la sita nashiriki umitashumta nikitokea makete yaani tulikuwa tunaona joto pale.Halafu huwezi fika makete bila kupita makambako labda upande dreamliner

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa mwaka 98 hiyo,maana hata Mie ile michezo nilishiriki nikitokea Wilaya ya Njombe,na Mwaka 97 Ilifanyika Ilula kimkoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapajua ndaga? Ni kaji eneo kadogo lakin utakuta eneo la mbele yake na nyuma kuna jua lakini penyewe pana ukungu na mvua inakua kama ina taka kunyesha..... mpaka watu wana ingiza imani za kishirikina... ndaga ipo mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mziki wa Wilaya Makete Mkoa wa Njombe na Maeneo yote ya Wilaya ya Makete ,Ikonda,Lupalilo,Ndulamo,Ipelele,Bulongwa,Kitulo, hakufai!
Kwa Ujumla iwe Arusha,Iwe Mufindi Mgololo
Haijawahi fikia Baridi ya Makete!
nyuzi joto muda mwingine inafika mpaka minus!!
Na Barafu Juu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaha mkuu Soso J bila shaka unapajua vizuri kabisa makete na Kata yangu ya Lupalilo
Mago,Ilevelo,ugabwa,Kisinga,ndulamo,iwawa n.k
Ila sitapasahau USUNGILO kiboko ya magari kukwama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wajerumani kule walitulia sana hawakuwa vibolo dinda maana kwa miaka yangu 10 ya kuishi kule nisikufiche sijawahi ona chotara wa kijerumani isipokuwa chotara mmoja tu wa kijapani ambaye siku hizi kazifumania hela anatamba kwenye sekta ya usafiri kule ana gari zake zimeandikwa JAPANESE

Sent using Jamii Forums mobile app
Kizazi kilishachanganyika na wengine wapo mijini humu.
Wametawanyika kutafuta pesa.
Mtu wa makete na kutafuta pesa humtoi.
Lakini half cast walikuwepo miaka ya zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom