Makete mbabe wa baridi Tanzania nzima

Makete mbabe wa baridi Tanzania nzima

Nimekaa Mufindi,Johns Conner (Mafinga) Njombe, Lushoto, Iringa Makete inaongoza namba2 Njombe na Mufindi watu wakiamka asubui wanaamka na blanketi Lushoto barid inaanza kumi jioni. Mufindi ukiamka asubui ukungu huoni mbali.Ofisi za serikaki zilikuwa na majiko ya mkaa sijui siku hizi ile shule yavmsingi inaitwa kibaoni kila mwanafunzi alikuwa na kopo la kuota shuleni. Unaweza usioge siku 3. Nyumba za serikali sebuleni walijenga sehemu ya kuotea moto.

Makete kuna wakati takwimu zilionyesha inaongoza kwa HIV. Nadhani ktk mambo ya kutafuta joto
Kule mkuu nyumba ya mwenye uwezo lazima aweke Dohani lile jiko la kuotea moto sebuleni then moshi unatokea juu yaani tulikuwa tunakata vigogo vya miti inaitwa miwati(wattle trees)ndo tunakoka ndani mnakuwa na moto.Yaani kama ulaya vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A,alleykum

Wadau katika maeneo yoote nilikwisha kutembelea katika nchi hii,nimejiridhisha kuwa wilaya ya MAKETE iliyoko mkoani Njombe ndio sehemu yenye baridi zaidi nchini Tanzania.

Hebu na ww tuambie ni sehemu gani unahisi ina baridi kushinda wilaya hii ya maker.

Hebu tazama hii ni hali ya kawaida katika wilaya hii kuanzia mwezi Juni-Agosti kukuta nyasi zote zimefunikwa na barafu na jua likishakolea na barafu kuyeyuka basi nyasi huonekana kama zimeungua.

Sincerely, Bachelor Sugu.View attachment 845768

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukibahatika kufika Huko usambaani Lushoto sehemu inaitwa Shume gololo na Rangwe huko nimewahi kwenda hakufai mzee baba kusoma nyuzi joto 5 kawaida sana
 
A,alleykum

Wadau katika maeneo yoote nilikwisha kutembelea katika nchi hii,nimejiridhisha kuwa wilaya ya MAKETE iliyoko mkoani Njombe ndio sehemu yenye baridi zaidi nchini Tanzania.

Hebu na ww tuambie ni sehemu gani unahisi ina baridi kushinda wilaya hii ya maker.

Hebu tazama hii ni hali ya kawaida katika wilaya hii kuanzia mwezi Juni-Agosti kukuta nyasi zote zimefunikwa na barafu na jua likishakolea na barafu kuyeyuka basi nyasi huonekana kama zimeungua.

Sincerely, Bachelor Sugu.View attachment 845768

Sent using Jamii Forums mobile app
siku ukifika makambako uje uedit uzi wako
 
siku ukifika makambako uje uedit uzi wako
Aah makambako mkuu???mbona hata kwenye list siiweki coz napajua nilishawahi kukaa km wiki 3 enzi hizo nipo darasa la sita nashiriki umitashumta nikitokea makete yaani tulikuwa tunaona joto pale.Halafu huwezi fika makete bila kupita makambako labda upande dreamliner

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo maana Wajerumani walikupenda sana. Baridi inapungua sasa na joto linaanza . December Dar ukipanda gari lenye kiyoyozi hutaki kushuka.
Umenikumbusha watoto wangu huwa ikifika Desemba wakitoka shule wanapenda kila wkend waende Beach au Mlimani city balaa lake wakifika City hawataki kutoka nje ya mall watanizuga na michezo hadi usiku utafika tuko hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A,alleykum

Wadau katika maeneo yoote nilikwisha kutembelea katika nchi hii,nimejiridhisha kuwa wilaya ya MAKETE iliyoko mkoani Njombe ndio sehemu yenye baridi zaidi nchini Tanzania.

Hebu na ww tuambie ni sehemu gani unahisi ina baridi kushinda wilaya hii ya maker.

Hebu tazama hii ni hali ya kawaida katika wilaya hii kuanzia mwezi Juni-Agosti kukuta nyasi zote zimefunikwa na barafu na jua likishakolea na barafu kuyeyuka basi nyasi huonekana kama zimeungua.

Sincerely, Bachelor Sugu.View attachment 845768

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukanda wote wa Nyanda za juu unabaridi ila Njombe, Mafinga, Makambako, Makete na Tukuyu kunatisha ndo maana maeneo yaho birthrate na HIV AIDS iko juu sana, vijana wanashindwa kuvumilia kulala wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makete ya enzi hizo barabara masika usafiri unasimama yaani hakuna kusafiri kutokana na barabara mbovu siku basi likakwama siku7 na kuziba barabara yote basi kuna mzungu alikuwa anasafiri na Land cruiser hardtop mpya mbele ina ile winch na kaishaambiwa kuwa basi limekwama sehemu Fulani akasema nitapita,kufika eneo la tukio kakuta basi limejaa njia nzima akawaambia fungeni Winch wakafunga na kuanza kulivuta.Dadeki land cruiser inavuta scania bus kubwa akatia gia zake 4WD ngoma hata kutikisika hamna ile hamad mzungu kaunguza clutch ikabidi nae akae aagizie mpya mjini ilipofika kesho yake ikabidi akubali matokeo na kurudi nyumbani sasa sijui tiketi ya ndege alifanyaje maana alikuwa anaenda kwao Mara moja
Hiyo ndo makete

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom