Nyanda za juu kusini kwa baridi ni balaa + RomboGuys nlikua napitita kwenye weather Tanzania hapa naona makete inaongoza.View attachment 846182
Mimi Tukuyu ndio nyumbani lakini baridi iliyopo ni ya kawaida sana, huwezi linganisha na kitulo, huwezi linganisha na Mufindi hata siku moja. Pia kuna bustani nzurii ya maua
Mgololo
HapafananiMkuu Mufindi sijafika japo nimepita sana Mafinga nahisi panafanana sana kwa hali ya hewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nenda uendapo ila maketehabari nyingine yaani hizo nyasi laiti km ningekuwa zinaongea basi zingesema bora zihamishiwe mufindi kuliko hiyo tabu ya maketeHapafanani
Mafinga pamepoa
Ila ukizama kwenye chai kule
Alooo utasimulia
[emoji252] [emoji479]
Sawa.Mkuu nenda uendapo ila maketehabari nyingine yaani hizo nyasi laiti km ningekuwa zinaongea basi zingesema bora zihamishiwe mufindi kuliko hiyo tabu ya makete
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha kwema lakini?zile kitu rafiki bado zinapiga chenga si mchezo ila bado nakomaa,vp ulifanikiwa kwenda kwa mchina?Sawa.
Ukifika kote jibu utapigia mstari.
[emoji252] [emoji479]
Acha kabisa mkuu. Mufindi jaman hapana!!!Mgololo
Nilienda kule mwili ukafreeze
[emoji252] [emoji479]