Makete mbabe wa baridi Tanzania nzima

Makete mbabe wa baridi Tanzania nzima

Watu mnaipaisha makete tu toka jana ila kuna sehemu zinachuana makete kwa baridi.
Screenshot_20180825-145307.jpg
Screenshot_20180825-145231.jpg
 
Nilisoma mahali, kutokana na uhaba wa ardhi Ulaya nyumba nimejengwa kwenye mstari. Miaka ya 1950 mpaka 60 walitumia kuni kuleta joto kwenye nyumba. Mitano moshi ukitanda na misitu ilitokomea.

Ndipo walipojuja na wazo la kusambaza mabomba ya gas kwenye nyumba na kuwekeza central heating system majumbani.
Mkuu maisha ya baridi raha sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise chief kule kwenu noma!
Hapahitaji friji!!
Napajua vizuri saana!Nazunguka maeneo mengi nchi hii ikiwemo Kule!Kule Noma kwa Baridi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Pia mzururaji tu mkuu sio kwetu kule
Mi kwetu ni KG-TZ on the shores of Lake Tanganyika so I'm a Beach boy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa mmefika marangu lakini,kuna sehemu inaitwa kitowo karibu kabisa na hifadhi ya mlima Kilimanjaro watu wanalala na majiko ya mkaa uvunguni,halafu mkisema Tanzania nzima na Mlima Kilimanjaro tunapatoa au na penyewe pamo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlimani kule tunaamini hakuna watu wanaishi japo tunaweza assume kuwa sehemu za jirani na mlima naweza kuwa na baridi pia zaidi but kiukweli na makete mh,huko chini ya mlima Kilimanjaro inabidi mtupe uzoefu kuwa watu wanaishi distance kiasi gani tuka ulipo mlima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom