Makete mbabe wa baridi Tanzania nzima

Makete mbabe wa baridi Tanzania nzima

A,alleykum

Wadau katika maeneo yoote nilikwisha kutembelea katika nchi hii,nimejiridhisha kuwa wilaya ya MAKETE iliyoko mkoani Njombe ndio sehemu yenye baridi zaidi nchini Tanzania.

Hebu na ww tuambie ni sehemu gani unahisi ina baridi kushinda wilaya hii ya maker.

Hebu tazama hii ni hali ya kawaida katika wilaya hii kuanzia mwezi Juni-Agosti kukuta nyasi zote zimefunikwa na barafu na jua likishakolea na barafu kuyeyuka basi nyasi huonekana kama zimeungua.

Sincerely, Bachelor Sugu.View attachment 845768

Sent using Jamii Forums mobile app
Unejifutafuta sura kwa kuhofia nini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifika Loliondo ndio utuambie kama panalingana na Makete au Mufindi!
 
Acha kabisa ile panda shuka kule hakuzoeleki kabisa
Unapajua punga kwenye mashamba ya Chai ya mo dewji....utawaona wamama wanavyo piga mwendo pale wa kazi wanatoka umbali wa km 5 kwenda kazini hapo shambani na kurudi.......wale ndy wanawake wa Shoka malkia wa nguvu syo malkia wa nguvu wa clouds

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A,alleykum

Wadau katika maeneo yoote nilikwisha kutembelea katika nchi hii,nimejiridhisha kuwa wilaya ya MAKETE iliyoko mkoani Njombe ndio sehemu yenye baridi zaidi nchini Tanzania.

Hebu na ww tuambie ni sehemu gani unahisi ina baridi kushinda wilaya hii ya maker.

Hebu tazama hii ni hali ya kawaida katika wilaya hii kuanzia mwezi Juni-Agosti kukuta nyasi zote zimefunikwa na barafu na jua likishakolea na barafu kuyeyuka basi nyasi huonekana kama zimeungua.

Sincerely, Bachelor Sugu.View attachment 845768

Sent using Jamii Forums mobile app
Mdau naoana hapo nyuma umebeba Ant - Baridi
 
Makete na mufindi barid yake n tishio Kwa maisha ya binadamu
 
Nimekaa Mufindi,Johns Conner (Mafinga) Njombe, Lushoto, Iringa Makete inaongoza namba2 Njombe na Mufindi watu wakiamka asubui wanaamka na blanketi Lushoto barid inaanza kumi jioni. Mufindi ukiamka asubui ukungu huoni mbali.Ofisi za serikaki zilikuwa na majiko ya mkaa sijui siku hizi ile shule yavmsingi inaitwa kibaoni kila mwanafunzi alikuwa na kopo la kuota shuleni. Unaweza usioge siku 3. Nyumba za serikali sebuleni walijenga sehemu ya kuotea moto.

Makete kuna wakati takwimu zilionyesha inaongoza kwa HIV. Nadhani ktk mambo ya kutafuta joto
 
Kibondo mkuu, ina baridi ile mbaya.
 
Na walidondisha sana DNA zao kuna mix race sana kule
Mkuu wajerumani kule walitulia sana hawakuwa vibolo dinda maana kwa miaka yangu 10 ya kuishi kule nisikufiche sijawahi ona chotara wa kijerumani isipokuwa chotara mmoja tu wa kijapani ambaye siku hizi kazifumania hela anatamba kwenye sekta ya usafiri kule ana gari zake zimeandikwa JAPANESE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wajerumani kule walitulia sana hawakuwa vibolo dinda maana kwa miaka yangu 10 ya kuishi kule nisikufiche sijawahi ona chotara wa kijerumani isipokuwa chotara mmoja tu wa kijapani ambaye siku hizi kazifumania hela anatamba kwenye sekta ya usafiri kule ana gari zake zimeandikwa JAPANESE

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbuka wajerumani waliondoka baada ya WWI hao mkuu mixed race waliachwa watakuwa umri wa mzee Ruksa na wamechanganyika na wabena na wahehe

Lushoto pia waliachwa wengi wamechanganyika na wasambaa
 
Back
Top Bottom