Barca waendelee kuzionea timu km ArsayNO kuwanyanganya wachezaji
Man Utd pesa ya kulipa mishahara mizuri ipo kilichopungua siku hizi ni kushiriki UCL league tu(sasa tumerudi na tutajirekebisha) km ni makombe hata enzi za SAF kuna kipindi tulikuwa tunaambulia Community Shield pekee
Herrera keshasema haondoki sasa sijui mbwembwe za nini
.......
Siyo kwamba hakilipi
Kinanufaisha wafanyabiashara wakubwa na walanguzi wa mazao
Mfano wanaenda vijijini huko Kyela wanasomba cocoa au mpunga kwa bei chee kisha wanaenda kuviuzia viwanda kwa bei ya juu na hata kusafirisha nje ya nchi
Mkulima wa kijijini anabaki tu kuneemesha wafanyabiashara wakubwa
. ......