Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Wakuu mmeamkaje
Alivyotua Man City amekuwa nyanya mno. Halafu ajali za mara kwa maraAlipokuwa Everton alikuwa jiwe hasa
Mi niko poa habari za jpHabari ya uzima kamanda wa vita?
Njema shemeji za huko kwenuShemeji za kwako
Salama mkuuWakuu mmeamkaje
Mifumo tofauti nayo inachangiaAlivyotua Man City amekuwa nyanya mno. Halafu ajali za mara kwa mara
Poa leo weekend wapi matumiziSalama mkuu
Ni salama kabisa mkuuMi niko poa habari za jp
Huku kwetu kuko vizur kama mungu alivyo penda iweNi salama kabisa mkuu
Hofu ni kwenu
Wabongo tunapenda dharau sana
Hata hii leo ukiendesha gari dogo wanakucheka eti unaendesha gari la like{babywalker) lakini wao hawana uwezo wa kununua hata tairi moja
Una-details zozote kuhusu mahatma gazhiHapana sina