Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
Hapana sinaUna record yoyote ya mchezaji anayeongoza kufunga gori nyingi kwenye uwanja wa wembley
1994 - John Stones anazaliwa.
Beki wa kati wa Man City na timu ya taifa ya Uingereza.
Pichani namuona Yasser Arafat akiwa kijana mbichi kabisa.
Mwanzoni Umoja wa Mataifa na Israel walianzisha propaganda na kukichafua hicho chama kwa kukitangaza kwamba ni Kundi la kigaidi baada ya kuonekana linapigania maslahi ya Wapalestina kwa sera yao ya Utaifa kitu ambacho hakikuwapendeza Wayahudi hadi ilipofika miaka ya mwanzoni mwa 1970![]()
......
Asante Shedede kwa story ,asante SHIMBA YA BUYENZE KWA KUEDIT MBARIKIWEThe little magic angel
Last edited by Shimba ya buyense
Sehemu ya Kwanza
Califonia Marekani
Katika nchi ya Marekani ndani ya jimbo la California majira ya saa nne unusu usiku pembezoni kidogo mwa mji wa San Francisco, jeshi la kiusalama la Navy Seals linapokea simu kutoka makao makuu ya jeshi hilo huko Virginia Beach. Simu hiyo ilipokelewa na Lauren McClaw akiwa kama kamanda wa jeshi la majini (navy).
"Hallo" aliipokea simu na kujibu
"Mkuu kuna habari zo zote umezipata?"aliongea kwa hofu na mashaka
"Hapana kwani kuna nini" kamanda aliuliza kwa shauku na udadisi.
"Tupo hapa Miami Beach kuna kiumbe kimedondoka toka juu na kimeleta maafa makubwa. Mpaka sasa watu wapatao mia moja ishirini na tatu wameshapoteza maisha" Mkuu aliongea kwa haraka haraka sana kana kwamba anakimbizwa.
"Whaaat?" McClaw alijibu kwa mshangao sana
"Hallo hallow hallo" kimyaa simu haikujibiwa tena.
Miami Beach
McClaw akiwa kama Chief Commander wa jeshi alipanga kikosi haraka haraka ili kulikabili lile alilolisikia. Alitumia dakika 3 tu kupanga kikosi ambacho ataambatana nacho
Umbali kutoka Virginia Beach mpaka Miami Beach ni kilometer 46 na helikopita za kivita ziliitwa na kuianza safari kuelekea eneo la tukio. Ilichukua nusu saa kufika eneo la Miami Beach. Wanajeshi walishuka upesi kuchukua nafasi tayari mashambulizi huku wakiongozwa na kamanda wao.
Eneo la tukio lilionekana kimya sana na moshi utokanao na kuunguzwa kwa vitu ulitanda kila mahali. Wanajeshi walikuwa katika umakini wa hali ya juu vidole kwenye trigger macho nyuzi tisini mbele wakisubiria agizo kutoka kwa mkuu wao.
Kwa kuwa moshi ulikuwa mwingi sana kiasi ambacho kuona mbele ilikuwa ni shughuli ngumu, McClaw aliwaamru wanajeshi wake watulie na wasikilize sauti zaidi. Haikuwa busara kutegemea macho pekee kwa maana haikuwa raisi kuona kilicho mbele japo tochi na night goggles zilikuwepo.
"Nimemwona" sauti ya mkazo ilisikika. Ilikuwa ni sauti ya mwanajeshi mmoja aitwaye Kelvin Ago wa jeshi hilo.
"Shhhs" McClaw alimjibu kwa ishara ya kwamba akae kimya asiongee.
Kwa kuwa Chief Commander alijua kuwa anapambana na kiumbe asichokijua, kiumbe ambacho kinaaminika kuwa kimedondoka kutoka juu, aliwaza labda kiumbe hicho kinaweza kuwa alien; na kinaweza kuwa kiumbe cha ajabu na hatari. Alitumia ujuzi wa kijeshi kwa kujaribu kuwaambia wanajeshi wake wazime tochi pia wakae kimya. Alitaka kujua kama hicho kiumbe kinaona na kinasikia. Na kinatumia njia na silaha gani katika kujilinda? Hayo ndiyo yalikuwa mawazo ya haraka haraka ya Chief Commander McClaw.
Je ni kiumbe gani hicho???
Itaendelea baada ya muda gani?The little magic angel
Last edited by Shimba ya buyense
Sehemu ya Kwanza
Califonia Marekani
Katika nchi ya Marekani ndani ya jimbo la California majira ya saa nne unusu usiku pembezoni kidogo mwa mji wa San Francisco, jeshi la kiusalama la Navy Seals linapokea simu kutoka makao makuu ya jeshi hilo huko Virginia Beach. Simu hiyo ilipokelewa na Lauren McClaw akiwa kama kamanda wa jeshi la majini (navy).
"Hallo" aliipokea simu na kujibu
"Mkuu kuna habari zo zote umezipata?"aliongea kwa hofu na mashaka
"Hapana kwani kuna nini" kamanda aliuliza kwa shauku na udadisi.
"Tupo hapa Miami Beach kuna kiumbe kimedondoka toka juu na kimeleta maafa makubwa. Mpaka sasa watu wapatao mia moja ishirini na tatu wameshapoteza maisha" Mkuu aliongea kwa haraka haraka sana kana kwamba anakimbizwa.
"Whaaat?" McClaw alijibu kwa mshangao sana
"Hallo hallow hallo" kimyaa simu haikujibiwa tena.
Miami Beach
McClaw akiwa kama Chief Commander wa jeshi alipanga kikosi haraka haraka ili kulikabili lile alilolisikia. Alitumia dakika 3 tu kupanga kikosi ambacho ataambatana nacho
Umbali kutoka Virginia Beach mpaka Miami Beach ni kilometer 46 na helikopita za kivita ziliitwa na kuianza safari kuelekea eneo la tukio. Ilichukua nusu saa kufika eneo la Miami Beach. Wanajeshi walishuka upesi kuchukua nafasi tayari mashambulizi huku wakiongozwa na kamanda wao.
Eneo la tukio lilionekana kimya sana na moshi utokanao na kuunguzwa kwa vitu ulitanda kila mahali. Wanajeshi walikuwa katika umakini wa hali ya juu vidole kwenye trigger macho nyuzi tisini mbele wakisubiria agizo kutoka kwa mkuu wao.
Kwa kuwa moshi ulikuwa mwingi sana kiasi ambacho kuona mbele ilikuwa ni shughuli ngumu, McClaw aliwaamru wanajeshi wake watulie na wasikilize sauti zaidi. Haikuwa busara kutegemea macho pekee kwa maana haikuwa raisi kuona kilicho mbele japo tochi na night goggles zilikuwepo.
"Nimemwona" sauti ya mkazo ilisikika. Ilikuwa ni sauti ya mwanajeshi mmoja aitwaye Kelvin Ago wa jeshi hilo.
"Shhhs" McClaw alimjibu kwa ishara ya kwamba akae kimya asiongee.
Kwa kuwa Chief Commander alijua kuwa anapambana na kiumbe asichokijua, kiumbe ambacho kinaaminika kuwa kimedondoka kutoka juu, aliwaza labda kiumbe hicho kinaweza kuwa alien; na kinaweza kuwa kiumbe cha ajabu na hatari. Alitumia ujuzi wa kijeshi kwa kujaribu kuwaambia wanajeshi wake wazime tochi pia wakae kimya. Alitaka kujua kama hicho kiumbe kinaona na kinasikia. Na kinatumia njia na silaha gani katika kujilinda? Hayo ndiyo yalikuwa mawazo ya haraka haraka ya Chief Commander McClaw.
Je ni kiumbe gani hicho???
Ni kiumbe gani?tunasubiri kwa hamu kubwaThe little magic angel
Last edited by Shimba ya buyense
Sehemu ya Kwanza
Califonia Marekani
Katika nchi ya Marekani ndani ya jimbo la California majira ya saa nne unusu usiku pembezoni kidogo mwa mji wa San Francisco, jeshi la kiusalama la Navy Seals linapokea simu kutoka makao makuu ya jeshi hilo huko Virginia Beach. Simu hiyo ilipokelewa na Lauren McClaw akiwa kama kamanda wa jeshi la majini (navy).
"Hallo" aliipokea simu na kujibu
"Mkuu kuna habari zo zote umezipata?"aliongea kwa hofu na mashaka
"Hapana kwani kuna nini" kamanda aliuliza kwa shauku na udadisi.
"Tupo hapa Miami Beach kuna kiumbe kimedondoka toka juu na kimeleta maafa makubwa. Mpaka sasa watu wapatao mia moja ishirini na tatu wameshapoteza maisha" Mkuu aliongea kwa haraka haraka sana kana kwamba anakimbizwa.
"Whaaat?" McClaw alijibu kwa mshangao sana
"Hallo hallow hallo" kimyaa simu haikujibiwa tena.
Miami Beach
McClaw akiwa kama Chief Commander wa jeshi alipanga kikosi haraka haraka ili kulikabili lile alilolisikia. Alitumia dakika 3 tu kupanga kikosi ambacho ataambatana nacho
Umbali kutoka Virginia Beach mpaka Miami Beach ni kilometer 46 na helikopita za kivita ziliitwa na kuianza safari kuelekea eneo la tukio. Ilichukua nusu saa kufika eneo la Miami Beach. Wanajeshi walishuka upesi kuchukua nafasi tayari mashambulizi huku wakiongozwa na kamanda wao.
Eneo la tukio lilionekana kimya sana na moshi utokanao na kuunguzwa kwa vitu ulitanda kila mahali. Wanajeshi walikuwa katika umakini wa hali ya juu vidole kwenye trigger macho nyuzi tisini mbele wakisubiria agizo kutoka kwa mkuu wao.
Kwa kuwa moshi ulikuwa mwingi sana kiasi ambacho kuona mbele ilikuwa ni shughuli ngumu, McClaw aliwaamru wanajeshi wake watulie na wasikilize sauti zaidi. Haikuwa busara kutegemea macho pekee kwa maana haikuwa raisi kuona kilicho mbele japo tochi na night goggles zilikuwepo.
"Nimemwona" sauti ya mkazo ilisikika. Ilikuwa ni sauti ya mwanajeshi mmoja aitwaye Kelvin Ago wa jeshi hilo.
"Shhhs" McClaw alimjibu kwa ishara ya kwamba akae kimya asiongee.
Kwa kuwa Chief Commander alijua kuwa anapambana na kiumbe asichokijua, kiumbe ambacho kinaaminika kuwa kimedondoka kutoka juu, aliwaza labda kiumbe hicho kinaweza kuwa alien; na kinaweza kuwa kiumbe cha ajabu na hatari. Alitumia ujuzi wa kijeshi kwa kujaribu kuwaambia wanajeshi wake wazime tochi pia wakae kimya. Alitaka kujua kama hicho kiumbe kinaona na kinasikia. Na kinatumia njia na silaha gani katika kujilinda? Hayo ndiyo yalikuwa mawazo ya haraka haraka ya Chief Commander McClaw.
Je ni kiumbe gani hicho???

Mwanzo mzuriThe little magic angel
Last edited by Shimba ya buyense
Sehemu ya Kwanza
Califonia Marekani
Katika nchi ya Marekani ndani ya jimbo la California majira ya saa nne unusu usiku pembezoni kidogo mwa mji wa San Francisco, jeshi la kiusalama la Navy Seals linapokea simu kutoka makao makuu ya jeshi hilo huko Virginia Beach. Simu hiyo ilipokelewa na Lauren McClaw akiwa kama kamanda wa jeshi la majini (navy).
"Hallo" aliipokea simu na kujibu
"Mkuu kuna habari zo zote umezipata?"aliongea kwa hofu na mashaka
"Hapana kwani kuna nini" kamanda aliuliza kwa shauku na udadisi.
"Tupo hapa Miami Beach kuna kiumbe kimedondoka toka juu na kimeleta maafa makubwa. Mpaka sasa watu wapatao mia moja ishirini na tatu wameshapoteza maisha" Mkuu aliongea kwa haraka haraka sana kana kwamba anakimbizwa.
"Whaaat?" McClaw alijibu kwa mshangao sana
"Hallo hallow hallo" kimyaa simu haikujibiwa tena.
Miami Beach
McClaw akiwa kama Chief Commander wa jeshi alipanga kikosi haraka haraka ili kulikabili lile alilolisikia. Alitumia dakika 3 tu kupanga kikosi ambacho ataambatana nacho
Umbali kutoka Virginia Beach mpaka Miami Beach ni kilometer 46 na helikopita za kivita ziliitwa na kuianza safari kuelekea eneo la tukio. Ilichukua nusu saa kufika eneo la Miami Beach. Wanajeshi walishuka upesi kuchukua nafasi tayari mashambulizi huku wakiongozwa na kamanda wao.
Eneo la tukio lilionekana kimya sana na moshi utokanao na kuunguzwa kwa vitu ulitanda kila mahali. Wanajeshi walikuwa katika umakini wa hali ya juu vidole kwenye trigger macho nyuzi tisini mbele wakisubiria agizo kutoka kwa mkuu wao.
Kwa kuwa moshi ulikuwa mwingi sana kiasi ambacho kuona mbele ilikuwa ni shughuli ngumu, McClaw aliwaamru wanajeshi wake watulie na wasikilize sauti zaidi. Haikuwa busara kutegemea macho pekee kwa maana haikuwa raisi kuona kilicho mbele japo tochi na night goggles zilikuwepo.
"Nimemwona" sauti ya mkazo ilisikika. Ilikuwa ni sauti ya mwanajeshi mmoja aitwaye Kelvin Ago wa jeshi hilo.
"Shhhs" McClaw alimjibu kwa ishara ya kwamba akae kimya asiongee.
Kwa kuwa Chief Commander alijua kuwa anapambana na kiumbe asichokijua, kiumbe ambacho kinaaminika kuwa kimedondoka kutoka juu, aliwaza labda kiumbe hicho kinaweza kuwa alien; na kinaweza kuwa kiumbe cha ajabu na hatari. Alitumia ujuzi wa kijeshi kwa kujaribu kuwaambia wanajeshi wake wazime tochi pia wakae kimya. Alitaka kujua kama hicho kiumbe kinaona na kinasikia. Na kinatumia njia na silaha gani katika kujilinda? Hayo ndiyo yalikuwa mawazo ya haraka haraka ya Chief Commander McClaw.
Je ni kiumbe gani hicho???
Sipati picha mkinga na msukuma wakiwa kwenye collaborationIyo story niutangulizi pia sehemu ya kwanza tukutane sehemu ya pili leo jioni
Chief executive director: mkinga
Supervisor:msukuma
Jitahidi iwe ndefu maana hiyo ni kidunchuIyo story niutangulizi pia sehemu ya kwanza tukutane sehemu ya pili leo jioni
Chief executive director: mkinga
Supervisor:msukuma
Ahsante sana mama mchungajiZABURI 54
1.Ee Mungu kwa jina lako uniokoe,Na kwa uweza wako unifanyie hukumu.
2.Ee Mungu uyasikie maombi yangu ,uyasikilize maneno ya kinywa changu.
3.Kwa maana wageni wamenishambulia,watu watu watishao wananitafuta nafsi yangu,Hawakumweka Mungu mbele yao.
4.Tazama ,Mungu ndiye anayenisaidia,Mungu ndiye anayenitegemeza nafsi yangu.
5.Atawarudishia adui zangu ubaya wao,uwaangamize kwa uaminifu wako.
6.Kwa ukunjufu wa moyo nitakutolea dhabihu,Ee Bwana nita lishukuru jina lako maana ni jema.
7.Kwakuwa limeniikoa na kila taabu,Na jicho langu limeridhika kwa kuwatazama adui zangu.
MUWE NA JUMAPILI NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
AmenZABURI 124
8.Msaada wetu u katika BWANA,Aliyezifanya mbingu na nchi.
Hapo kwenye rasta sikumtambua
2014 - Malcom Glazer anafariki Dunia.
Alikuwa ni mfanyabiashara wa Kimarekani na Mmiliki wa Klabu ya Man Utd.
Nini kitatokeaSipati picha mkinga na msukuma wakiwa kwenye collaboration
Shemeji za kwakoAmen
Alipokuwa Everton alikuwa jiwe hasa![]()
Japokuwa anaitwa Mawe lakini anaonekana kuwa beki lainilaini![]()
....
Habari ya uzima kamanda wa vita?Amen
Tuvute subiraNini kitatokea