Hawa wanafahamika zaidi kama Wesley Brothers
Wanaonekana kwenye mfululizo wa filamu za Harry Porter
Katika filamu hizo kuonekana wakiwa na nywele nyeusi au rangi zingine tofauti na uhalisia kutokana na kupaka rangi( ambapo kiuahilsia wana nywele za dark beown
.......
Hawa ni mapacha wanaoshikilia rekodi ya kuwa mapacha vibonge zaidi kuwahi kutokea duniani
Walikuwa na uzito wa jumla Wa Paundi 1468
Mmoja alifariki wakati wakiendesha pikipiki ya pamoja mwaka 1979
Mwingine akafariki mwaka 2001 kwa ugonjwa wa moto
Makaburi yao yamejengwa kwa kuyaunganisha sehemu moja
........