Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wapiii sasa jamaniii

Aiseeeh kama ustaarabu ungekuwa unauzwa sijui

Hapa kwenye daladala la kwenda mtakuja nimebahatika kupata siti ila kuna mrembo kasimama na mimi nilivo nundaz sijamuulumiaa eti akae

Ila navomchungulia naoa kwenye kwapa ana bonge na manyweleee

Sijui nimkumbushe ..ila mrembo kaumbika tatizo hilo tu
We Lee rafiki yangu lakini mtata kwelikweli.
 
TOP TEN
km mnavyojua leo huko Sweden kuna Fainali ya Europa league hivyo inabidi tumalizane mapema
.

Leo tuangalie mapacha kumi maarufu zaidi duniani
Mnakumbuka kuna siku tuliongelea mapacha walioungana ila leo tunaongelra mapacha wa kawaida
Karibuni
........
 
TOP TEN
km mnavyojua leo huko Sweden kuna Fainali ya Europa league hivyo inabidi tumalizane mapema
.

Leo tuangalie mapacha kumi maarufu zaidi duniani
Mnakumbuka kuna siku tuliongelea mapacha walioungana ila leo tunaongelra mapacha wa kawaida
Karibuni
........
Pamoja baloziii

Ila kipigo palepale
9ca85209b8fd2c1ce5a3b9e2f906a7f1.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom