Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Jamaniii bhinamu angu na kushinda kote kanisaniii kaambuliaa kugonga likes ??
Hatujambo,pole na msjukumuKwema nitokako
Vip mmeshindaje??
Unaenda wapi![]()
![]()
![]()
aiseee mzeee
![]()
![]()
![]()
Anhaa sawa shemmke mwenzangu
kwahiyo umefikiliaje![]()
![]()
![]()
aiseee mzeee
![]()
![]()
![]()
Si bora hata ningeishia kugonga likes tu, hata mkate na divai nilinyimwa kanisani
binamuuu
hongereni sana![]()
![]()
![]()
mmezidii
Nikajua ni-slang etykwahiyo umefikiliaje

Kwa hio weka heshma kwa Shunie.

Tunashukuruhongereni sana

Ndio namshangaa![]()
![]()
akuandikie kwani anakutaka
Unaujua umbali kutoka Kyela mjini hadi Kyela border(Malawi)?
Kwa taarifa yako ni km kutoka Ubongo hadi Temeke tu tena hata huu umbali ni mrefu
Km kitu hujui uliza
Tena kwa basi nauli 1000/= tu
Au unadhani mpaka wa Tz na Malawi upo Moshi
![]()
![]()
![]()
............

Naenda kuandika story shem kunastory nai-produce wenda nitai-dropUnaenda wapi