Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Ashley & Mary--Kate Olsen
416dc5e515340511ebd672d75b954e49.jpg
8b4670ad2ec1838964c1b4e3846faeac.jpg

Hawa umaarufu wao inatokana na pesa walizonazo.....hawajafikisha hata miaka 30 lakini wana mkwanja mrefu wa kuweza kuwahonga hadi Sizonje na Bashite
Wanatajwa kuwa wanawaje matajiri # 11 duniani
.
.
.
.
.
Ahsanteni kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............
 
Unaujua umbali kutoka Kyela mjini hadi Kyela border(Malawi)?
Kwa taarifa yako ni km kutoka Ubongo hadi Temeke tu tena hata huu umbali ni mrefu
Km kitu hujui uliza
Tena kwa basi nauli 1000/= tu
Au unadhani mpaka wa Tz na Malawi upo Moshi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
............
[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Back
Top Bottom