Jamaan![]()
mama mchuchu mwenyewe alitutambulisha kwa mukongo ulikua haupo

Hahahaaaamalizia hizi mission kwanza harafu ustaafu
Shimba
Binamu yako Obe
Ipogo sorry kama nimekosea jina
Mndali
Mondray
Nyagei
na wengine wote kasoro mimi
I see,ndio maana ni kitu mhm sana kwa security,na huwa hazifanani kabisaa
Kweli?au sio wote,najiona naongezekaLooooooh
Umrnikumbusha theory za osmosis na diffusion kwa kutumia kiazi
Uko poa? wa ubavuni mwanguSafiiii
huyo baby wako akija anasalimia anasepa hata ukimjibu atarudi kesho kutwa yake
aisee majukumu siunajua tena
Nahisi naongezeka
Hayo mawese vipNilikuwa kuwa porinii
Ila now niko shamba nalima mawese

Mungu mwema anatupiganianamshukuru mungu mambo yako vizuri, sijui kwako
Sie wazimaNimewamiss sana wazima wapendwa wangu?mbarikiwe![]()
![]()
Ni kweli.
Hahahahacuzoo shemela wangu nyagei nasikia anakupenda etiebu mfikilie kwa niaba ya cuzoo wako