Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wapiii sasa jamaniii

Aiseeeh kama ustaarabu ungekuwa unauzwa sijui

Hapa kwenye daladala la kwenda mtakuja nimebahatika kupata siti ila kuna mrembo kasimama na mimi nilivo nundaz sijamuulumiaa eti akae

Ila navomchungulia naoa kwenye kwapa ana bonge na manyweleee

Sijui nimkumbushe ..ila mrembo kaumbika tatizo hilo tu
hahhhah na we nunda kweli ebu mwambie akishuka akanyoe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom