mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Tungo tata hiyo... ...kila mtu anatafsiri kivyake.we umeelewaje
Tungo tata hiyo... ...kila mtu anatafsiri kivyake.we umeelewaje
Sasa kwnn kuna MTU alisema.....aowaye 7bu ya "kuli tundi" huwa na siku mbaya na usiku mtam maishani
Nawe piaHuhitaji kuwa MKAMILIFU kuwavutia wengine, watavutiwa na wewe kwa jinsi UNAVYOSHUGHULIKIA MAPUNGUFU yako!!!..
jioni ya amani na upendo iwe juu
KaPuku'S forum..!!..
Nipooooooolee uje unithibitishie hapa afu sitakuuliza tena
ukuje
Aki ya wewe namwambiaa

Uko vizuriii mamaAliyemtongoza mwenzake ni mukongo kila siku anajifunza neno humu akija mistari ya dini basi siku ya siku mama mchuchu akamquote mukongo kumwita baba mchuchu
ukumbuke kabla hajakubaliwa yeye na binamu ndio walikua wanamgombania wote
Sisi au?!Wanadanganyanaa
AhaaaaaahMkuu sio mondray mkuu ni bamdogo alipata jimama akamwacha husna
Nitafutieeekwani hawezi kuniacha? ndio nimeshaachwa.
Aliyekuachaaa nan jamaniiiiSnipes kweli huniamini au nimeachwa na wala pole sitaki si unajua mtu akikutafutia sabbu ndio kilichonikuta
Weeee sitakiii anizoee huyu ntakuta ashaniandikia threadinabidi umzoee tu
basi waache waendelee kudangayana watajua wenyeweWanadanganyanaa
Umesema kweli husna?Hawezi kuacha huyoo
Ahaaaaaaahaaaaahpole hairudishi ulichopoteza wala haipoozi maumivu, just kuonesha kuguswa
huu ni upuuzi tu wa lee unaendalea ambao niliumiss japo watu wanasema hawaioni hiyo segment yake ya upuuzi 🙂🙂
wapuuz tunaelewana wenyewe 🙄
mimi nimefanya nini we si ndio umesema ataenda kula chips tu sijui ni mwanaume wa dar chips na mayonaiseAki ya wewe namwambiaa
AsanteePole mamii
Unataka niniMbona hamueleweki nyie watu?!
unashangaa nini hivi mm siwezi kuachwa eenh