Makapuku Forum

10/Ronald"Ronnie" & Reginald"Reggie" Kray

Hawa umaarufu wao umetokana na tabia yao ya wizi, Mauaji,ukabaji na kila sina ya upuuzi waliokuwa wakiufanya katika kitongoji cha East End London mahali walipokuwa wakiishi miaka ya 1950 na 1960'
Pamoja na uhalifu wao huo waliofanya kwa kificho waliweza kumiliki klabu ya usiku na hivyo kifahamiana na mastaa kibao
Mwaka 1968 walitiwa mbaroni na kutupwa jela maisha
.........
 
Asante
 
Duh
 
9/Shawn & Aaron Ashmore
Shawn alijipatia umaarufu kupitia X-men films wakati Aaron alionekana kwenye Warehouse 13
kisha wote wanacheza kwa pamoja muvi ya Smallville ambapo watu walishindwa kungamua kwamba ni watu wawili tofauti
.......
 
8/Charlie & Craig Reid
Hawa walikuwa na bendi yao waliyoiita The Proclaimers ambayo waliianzisha mwaja 1983 wakiwa na miaka 19 tu

Walitikisa sana miaka ya 1980 na kibao chao cha I am Gonna Be (500 Miles}
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…