Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Amesema alikuwa Hajui jamani... Msamehe

Amesema alikuwa Hajui jamani... Msamehe

Tuko poaMko poa??
Mimi ndio zangu sema mazingira ya Dar hayaruhusuNapenda sana kuendesha baiskeli,nikienda kijiji huwa lazima nikumbushie enzi,maana kule hawanishangai![]()
![]()
![]()
MPE nusu ya malipo yake aingie kazinimalizia hizi mission kwanza harafu ustaafu
Shimba
Binamu yako Obe
Ipogo sorry kama nimekosea jina
Mndali
Mondray
Nyagei
na wengine wote kasoro mimi
Sitakiiiiimalizia hizi mission kwanza harafu ustaafu
Shimba
Binamu yako Obe
Ipogo sorry kama nimekosea jina
Mndali
Mondray
Nyagei
na wengine wote kasoro mimi
MmhAnaliamshaaa haswaa
Pole mkuu siku hazifanani Mungu akupe wepesi katika majukumu,ubarikiweLeo nimeshikika, mtu anisaidie kuweka segment ya Leo katika Historia

Asante Bitoz kwa je wajuaEnd![]()
.........
hhaaaa machale kundesaAiseee ngastuka![]()
![]()
sijakuelewa hataAminiiiii kwani kuna shunie na lee ??
![]()
![]()
![]()
Uachage urongo!!!Namjuaaa tuu hashindwiii akiamuaa ..
Umesahau Blessed na liimukongoo
hahahhhaahh umeanzaUkachezee kwaitooo
Amen Obe asante sana ubarikiweKumekucha Makapuku.
Asante shululu kwa kuianzisha siku hii , asante BH kwa sala.
Asubuhi hii na wakati wote uliosalia, tuwe na wakati mzuri. Love

Ni kweli![]()
Tujifunze kuzikabili changamoto za kimaisha bila kukurupuka
.......
unataka kuanza kuwakorofishaNiajeee shemela king'ang'aniziii
Ntamuitaa sakayo umlipe baltika zakehahahhhaahh umeanza