Makapuku Forum

Makapuku Forum

sasa mbona anasema umemuacha
Wapiii sasa jamaniii

Aiseeeh kama ustaarabu ungekuwa unauzwa sijui

Hapa kwenye daladala la kwenda mtakuja nimebahatika kupata siti ila kuna mrembo kasimama na mimi nilivo nundaz sijamuulumiaa eti akae

Ila navomchungulia naoa kwenye kwapa ana bonge na manyweleee

Sijui nimkumbushe ..ila mrembo kaumbika tatizo hilo tu
 
Wapiii sasa jamaniii

Aiseeeh kama ustaarabu ungekuwa unauzwa sijui

Hapa kwenye daladala la kwenda mtakuja nimebahatika kupata siti ila kuna mrembo kasimama na mimi nilivo nundaz sijamuulumiaa eti akae

Ila navomchungulia naoa kwenye kwapa ana bonge na manyweleee

Sijui nimkumbushe ..ila mrembo kaumbika tatizo hilo tu
picha plzz
 
2e64246a7b5e1557cdc2dfe87d1ae622.jpg
3a569791a66d792d108295026552778e.jpg
 
Unaujua umbali kutoka Kyela mjini hadi Kyela border(Malawi)?
Kwa taarifa yako ni km kutoka Ubongo hadi Temeke tu tena hata huu umbali ni mrefu
Km kitu hujui uliza
Tena kwa basi nauli 1000/= tu
Au unadhani mpaka wa Tz na Malawi upo Moshi

............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom