According to Waziri Mwijage
*Ukitafuna miwa 4 tayari una kiwanda cha sukari
*Ukiwa na majiko 4 una kiwanda cha kupikia
*Ukiwa na ng'ombe jike 4 una kiwanda cha Maziwa
*Ukijisaidia kinyesi kutwa X 4 una kiwanda cha mbolea
*Ukiwa na Kali 4 za kuchomea vitumbua tayari ni kiwanda cha vitumbua
*Ukiwa na sindano 4 una kiwanda cha nguo
*Ukiwa na vimada 4 tayari una kiwanda cha kufyatua watoto
*Ukiwa na watoto 4 wenye mabichwa makubwa yaliyojaa nywele tayari una kiwanda cha wigi
........
AiseeeKama mimi
KhaaaaaCamera bado zmeharibika
Unaijua hio anqasus?hapana asante
Siijui ila asanteUnaijua hio anqasus?
Hakika kiri uzima kila wakati na Mungu atakupeleka hatua nyingine ya ushindi,si lazima kusema kila unachopitia ,wakati mngine Mungu anaruhusu majaribu ili uuone utukufu wake.Mimi ni mzima
Ninachoumwa hakinizuii kula,kunywa,kulala wala kuchat
Hivyo nipo OK ndo sababu sikusema hadi juzi wakati ni mwezi mmoja sasa
.........
According to Waziri Mwijage
*Ukitafuna miwa 4 tayari una kiwanda cha sukari
*Ukiwa na majiko 4 una kiwanda cha kupikia
*Ukiwa na ng'ombe jike 4 una kiwanda cha Maziwa
*Ukijisaidia kinyesi kutwa X 4 una kiwanda cha mbolea
*Ukiwa na Kali 4 za kuchomea vitumbua tayari ni kiwanda cha vitumbua
*Ukiwa na sindano 4 una kiwanda cha nguo
*Ukiwa na vimada 4 tayari una kiwanda cha kufyatua watoto
*Ukiwa na watoto 4 wenye mabichwa makubwa yaliyojaa nywele tayari una kiwanda cha wigi
........
Upo sahihiMichael hakujichubua Bali dawa alizokuwa anapaka ili kutibu ndio zilipelekea kumbadilisha rangi sababu zilikuwa ni kali na alitumia kwa muda mrefu
Asante na jioni njema kwako pia
Kweli mke mweeKhaaaaa
Samahani wahindi kwa uzoefu wanaongoza kwa huu ugonjwa na wao si weusi.Asante Bitoz
Shunie unanishangaza.... Unakataa vp kitu usichokijua... Pengine unakihitaji.Siijui ila asante
HakikaAsante sana
Nimekuja na kismati
acha nikushangaze tu ila asanteShunie unanishangaza.... Unakataa vp kitu usichokijua... Pengine unakihitaji.
Kuna mtu humu alikuwa akipelekwa shule kwa viboko
.......
Wanywaji oyeeeeee