Makapuku Forum

Amen.....Ahsante Mama.....ubarikiwe
 
1934 - Majambazi wa benki Bonny and Clyde wanauwawa na FBI katika mapambano ya kurushiana risasi.

Majamnazi hao walitikisa sana ndani ya Marekani kwa kuvamia na kuiba katika Mabenki kipindi cha Mdororo wa Uchumi ( World Economic Depression. )
bonny n Clyde najua ni wimbo wa jay z ft Beyonce
kumbe.....
 
1934 - Majambazi wa benki Bonny and Clyde wanauwawa na FBI katika mapambano ya kurushiana risasi.

Majamnazi hao walitikisa sana ndani ya Marekani kwa kuvamia na kuiba katika Mabenki kipindi cha Mdororo wa Uchumi ( World Economic Depression. )
walikuwa na historia nzuri sana ya mapenzi hawa watu
R.I.P Bonny & Clyde
 
Ameen
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…