Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Hebu weka picha kwanza

Hebu weka picha kwanza

Mbumbumbu fc
Rage hakukosea kuwaita mbumbumbu maana anazijua vizuri akili za mashabiki wa Simba![]()
Hii leo wameshindwa kigundua km wamejaza magarasa mengi kikosini ndio 7bu ya kukosa ubingwa badala yake wanacheza muziki wa viongozi kwamba wanaonewa na TFF na hivyo FIFA watawapa ubingwa wa mezani
.
Wamesahau kuna kipindi walikuwa na timu Kali ile ya akina Kaseja,Okwi,Pawasa,Shekhan Rashid baadaye akina Mafisango NK ambapo Yanga tulikuwa vibonde na hatukusingizia kuonewa na tukaanza kusajili majembe ya kimataifa km Kamusoko na Tambwe ambaye walimuacha wenyewe viongozi wa Simba
Hawa mashabiki wa Simba wanaboa
........

Wana mechi ngumu dhidi ya Mbao Fc(ambayo imetufinga mara mbili mfululizo)Mbumbumbu fc
Malalamiko FC
Pool table fc
Wakiwa katika ubora wao
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Amen, Asante kwa neno mama mchungajiZABURI 126
1.Bwana alipowarejeza mateka wa Sayuni,tulikuwa kama waota ndoto.
2.Ndipo kinywa chetu kilipojaa KICHEKO,na ulimi wetu kelele za
furaha
Ndipo waliposema katika mataifa BWANA amewatendea mambo MAKUU.
3.BWANA alitutendea mambo makuu,Tulikua tukifurahi.
4.Ee BWANA ,Uwarejeze watu wetu waliofungwa,kama vijito vya kusini.
5.Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.
6 .Ingawa mtu anakwenda zake akilia azichikuapo mbegu za kupanda.
7.Hakika atarudi kwa kelele za furaha aichukuapo miganda yake.
MUNGU ALIYE HAI NA AKUPE KICHEKO TENA KATIKA LOLOTE AMBALO LIMEKUWA LIKIKUTEKA KWA MUDA SASA,AKUSHANGAZE TENA KWA MATENDO YAKE MAKUU,IWE MAGONJWA,KUTOFANIKIWA KATIKA LOLOTE,MUNGU AKUTENDENDEE MAMBO MAKUU,KWA JINA LENYE NGUVU. LA YESU KTRISTO ,AMINA
Shemeji nipo kibaha sasa hivi, baada ya pilikapilika za mjiniMagimbi mekundu au meupe
Shunie shemela, umenarikiwa na mama mchungajiHahahaha Shunie mwanangu Love you![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aisee![]()
Mwisho wa kunukuu![]()
Akija binamu Obe sijui itakuwaje
Akija binamu Obe sijui itakuwaje
Karibu binamu...nimekuja na itakuwa poa tu maana sipendi maua yaani flowers ️️️️
Hahahha umeona flowers shemela binamu obe akuje kuonaShunie shemela, umenarikiwa na mama mchungaji
Uwiiiiii...nimekuja na itakuwa poa tu maana sipendi maua yaani flowers ️️️️

ahhhah hawakuchanganyi sema binamu anataka kuvunja kwa nguvu ndoa ya mama mchuchu na mukongo hakubali kama amekataliwa
ahhhaa ngoja nimwite shemela shululu anijibieLol! Wameshawahi kukuonesha cheti cha ndoa?
BTW, umejuaje kuwa sijakubali kukataliwa
AmekujaHahahha umeona flowers shemela binamu obe akuje kuona
![]()
![]()
binamu unatamani ungekua wewe
![]()
![]()