Makapuku Forum

Makapuku Forum

8/Long Finned Eel
f16f49861b241023fd3cbeef0313fd6d.jpg
cc5cce2efbd79d9dc7d14ccd2ccef89d.jpg
Hawa ni samaki warefu hivyo kufanana na nyoka wanapatikana zaidi huko Australia na New Zealand
Wanasadikiwa kuwa na uqezo Wa kuishi miaka 60 ila aliyerekodiwa aliishi miaka 106
.......
Nimewahi kumuona kwenye aquarium moja huyu mdudu. Ni jamii ya wale samaki wenye umeme mwilini mwao kama kumbukumbu zangu zinanitendea wema
 
10/Red Sea Urchin
86d7a197de241c79f3fac643154bc220.jpg
8211f34d776fb9f9e03b0482d1a51bd4.jpg
Hawa wanasadikiwa kuwa huishi milele maana wanaowarekodi/watunza hufa huku wao wakiendelea kuishi hata baada ya vifo vya watoto wa hao watunza wanyama!!!!!
Wanaishi baharini kwenye n ina cha juujuu kwenye pwani ya bahari ya Pasifiki huko Amerika Kaskazini Wanasadikiwa kuwa na uwezo wa kuishi miaka zaidi ya 200
........
Coco Beach wapo hao ila ni wadogo size ya kiganja pia ni weusi
 
6/Tembo wa Afrika
cea9959183cece6f16cc8d26368c028d.jpg
1560c6fc4fd09be6176a29b4d1440db5.jpg
Hawa ni wale wanaopatikana barani Afrika pekee ambao kwa hapa Bongo huwindwa na majangili pamoja na wapiga dili ili wapate pembe zao(pembeni za ndovu)
Wanakadiriwa kuwa na uwezo qa kuishi miaka 70
Ila kwavile Waafrika hatujali kutunza kbukumbu pengine wapo tembo wenye miaka 100
.......
 
5/Galapagos Giant Tortoise
7149cf3332a6df790362646eb150260f.jpg
b5013f690141150cfd715bf03436d53d.jpg

Hii ni jamii ya Kobe ambayo ina jeuri ta juishi takribani miaka 100
Kobe maarufu zaidi wa aina hii aliitwa Lonesome George aliyeishi kisiwani kwa miaka 100
Kobe aliyerekodiwa kuishi miaka mongi zaidi aliishi miaka 152
........
 
ZABURI 126

1.Bwana alipowarejeza mateka wa Sayuni,tulikuwa kama waota ndoto.

2.Ndipo kinywa chetu kilipojaa KICHEKO,na ulimi wetu kelele za
furaha
Ndipo waliposema katika mataifa BWANA amewatendea mambo MAKUU.

3.BWANA alitutendea mambo makuu,Tulikua tukifurahi.

4.Ee BWANA ,Uwarejeze watu wetu waliofungwa,kama vijito vya kusini.

5.Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.

6 .Ingawa mtu anakwenda zake akilia azichikuapo mbegu za kupanda.

7.Hakika atarudi kwa kelele za furaha aichukuapo miganda yake.

MUNGU ALIYE HAI NA AKUPE KICHEKO TENA KATIKA LOLOTE AMBALO LIMEKUWA LIKIKUTEKA KWA MUDA SASA,AKUSHANGAZE TENA KWA MATENDO YAKE MAKUU,IWE MAGONJWA,KUTOFANIKIWA KATIKA LOLOTE,MUNGU AKUTENDENDEE MAMBO MAKUU,KWA JINA LENYE NGUVU. LA YESU KTRISTO ,AMINA
Ameni mama mchungaji ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom