kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 753
Et jaman makapuku wenzangu baada kuiona hii thread ya makapuku kwa mda mrefu humu jf nimevutiwa kuwa mwanakapuku kutoka mitaa ya huku kwetu USHENZINI.
Sasa ni miongozo ipi natakiwa niifuate niwapo humu makapuku forum, na je kuna kiongoz wa makapuku forum? Kama ikitokea kiongoz hayupo kwa heshima zote nitaomba huo wadhifa nipewe mimi kwa sabababu huo ukapuku nauishi huku mtaani kwetu.
===============
Wenu kapuku mtiifu
Kalenga kidamali
Sasa ni miongozo ipi natakiwa niifuate niwapo humu makapuku forum, na je kuna kiongoz wa makapuku forum? Kama ikitokea kiongoz hayupo kwa heshima zote nitaomba huo wadhifa nipewe mimi kwa sabababu huo ukapuku nauishi huku mtaani kwetu.
===============
Wenu kapuku mtiifu
Kalenga kidamali