Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Hahahha umeona flowers shemela binamu obe akuje kuona
Taratibu bibie usijefanya Sweetiepie akadhani unayoongea ni kweli
Hahahha umeona flowers shemela binamu obe akuje kuona
Kama kweli nitumie picha ya hapo mpaka kuna kibao kimeandikwa sasa unaingia mkoa wa pwaniShemeji nipo kibaha sasa hivi, baada ya pilikapilika za mjini
Nipo nyumbani tayariKama kweli nitumie picha ya hapo mpaka kuna kibao kimeandikwa sasa unaingia mkoa wa pwani
Kunguru miaka 400TOP TEN
Leo tuone wanyama/samaki/wadudu waliowahi kuishi au wenye kiwango kikubwa cha kuishi hapa duniani
Najua wengi mmeshawahi kusikia kobe huishi miaka mongi ila wengine pia wapo
Karibuni
...........
Poa mkuuNipo nyumbani tayari
Nimemuona shemelaAmekuja

hahhahhhaTaratibu bibie usijefanya Sweetiepie akadhani unayoongea ni kweli
Kama kweli nitumie picha ya hapo mpaka kuna kibao kimeandikwa sasa unaingia mkoa wa pwani

sawaTOP TEN
Leo tuone wanyama/samaki/wadudu waliowahi kuishi au wenye kiwango kikubwa cha kuishi hapa duniani
Najua wengi mmeshawahi kusikia kobe huishi miaka mongi ila wengine pia wapo
Karibuni
...........
Mbona hivyo dada nilikuwa nataka anipe uthibitisho wa kuwa ni wa kibaha
Kinachoangaliwa zaidi ni ni pamoja na wastani wa umri wao kuishiKunguru miaka 400
AsanteTOP TEN
Leo tuone wanyama/samaki/wadudu waliowahi kuishi au wenye kiwango kikubwa cha kuishi hapa duniani
Najua wengi mmeshawahi kusikia kobe huishi miaka mongi ila wengine pia wapo
Karibuni
...........
Haha hahahaha, wanakufa na kuuliwa sana kwa ajili ya tiba ya limbwataKinachoangaliwa zaidi ni ni pamoja na wastani wa umri wao kuishi
Kunguru huku bongo wanakufakufa ovyo tu hivyo unaweza kukuta wastani wa umri wao kuishi ni miaka 20 tu
Ni km maisha yetu wabongo wastani sijui 50yrs lakini kuna vibabu vya miaka 120
........