Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
mke mwee za weweHabari ya jumapili makapuku wote
mke mwee za weweHabari ya jumapili makapuku wote
Hahaaaaa!fata moyo wako nini unataka ili uwe na amani ya moyo
Asante shemela, karibu sanashemela ndio mana nakupenda nitakuja pm kwako kukusalimia ktk vitu sivipi nafasi ni watu nipo hivyo hata ktk maisha yangu ya nje ya jf
Ameen mama mchuchuZABURI 150
1.Haleluya ,msifuni Mungu katika patakatifu pake,Msifuni katika anga la uweza wake.
2.Msifuni kwa matendo yake makuu,Msifuni kwa kadri ya wingi wa ukuu wake.
Msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3.Msifuni kwa mvumo wa baragumu ;Msifuni kwa kinanda na kinubi.
4.Msifuni kwa matari na kucheza,Msifuni kwa zeze na filimbi.
5.Msifuni kwa matoazi yaliayo;Msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6.Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA.HALELUYA![]()
TUOMBE
BABA katika jina la Yesu asante kwa Upendo wako mkuu kwetu hata kutuamsha salama na wazima.
Tunajikabidhi mikononi mwako utulinde utuongoze utuponye.
Tunaomba utuepushe na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali.
Tunakushukuru,Tunakusifu,aTunakuabudu,Tunakushukuru na kwa Pumzi zetu tunalisifu jina lako daima HALELUYA.
Asante Baba kwa yote unayotutendea maana hatuna namna ya kuyaeleza tunashukuru.
Ponya wagonjwa,wafiwa,waliovunjika moyo,yatima wajane. usiwapungukie Mfalme wa Amani.Walinde wasafiri nchi kavu,majini angani wafike salama
Asante Baba na tunaomba ufanye yote sawasawa na mapenzi yako.
JUMAPILI YA LEO BABA TUNAOMBA TUKUTANE NAWE POPOTE TULIPO.
Tunaomba yote katika jina la Yesu amen.
JUMAPILI NJEMA WAPENDWA![]()
![]()
![]()

Mama mchuchu shikamoo mama anguNjema ubarikiwe
Aliwahi kujiita chaubamaKwanini umeamua Hivyo?
Asante sana kwa magazeti ankaliKutoka kwenye Meza ya magazeti sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa Yanga kuchukua Ubingwa wa VPL
Nawatakieni jumapili njema

HaaaaahaaaaKaaah?
Why not my pm?
fitna nimeshazizoe baba mchuchu![]()
![]()
![]()
nikianza fitina usilie na kuanza kumwachia Mungu
Pamoja sana ankali JJAsante sana kwa magazeti ankali
Wadhamini ni![]()
![]()
![]()
![]()
hivi ujue mama mchuchu anatembea na roho ya binamu obe
AnakujaHusna muba
Haha! Naona mtoto shuny akijaa kwenye 18 zako mkuu..Haaaaahaaaa
Mama mchuchu wee
kweli mukongo anatuharibia mama ujue hapa naweza amino maneno ya binamu obe kuwa anataka kukusilimisha diniMambo mrembo shunie?Anakuja
wazee wa fursa mnaitwaNafasi iko wazi, nahitaji mchumba wa Makapuku tu, siwezi kuwa single humu akati boys mpo.
unatamni ungekua single