Makapuku Forum

Makapuku Forum

1996 - Meli ya Mv Bukoba yazama katika Ziwa Viktoria na kuua watu zaidi ya 700.

Ilikuwa ikitoka Bukoba kwenda Mwanza, ilizama karibu na pwani ya Bwiru.

Rais wa kipindi hiko, Benjamin Mkapa alitangaza siku tatu za maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti.

Makaburi ya wahanga wa tukio hilo yapo Igoma, Mwanza ambapo walioshindwa kutambuliwa na ndugu zao walizikwa hapo.
 
c241fc1cb0ab99753179011f2bb1bba5.jpg

Shikamoo Makapuku
Nategemea hapo ulipo haujambo
Huku nyumbani bibi khajambo lakini aliniambia nikujulishe kuhusu ile kitu yake ya siku zote kama imepanda bei

Zamani aliipate kwa anko deby kwa tsh 100 lakini tokea waseme no viroba imepanda kweli

Nimejitahidi kuzunguka mitaa ya kina shemera nako tabu nimekosa
Nimejaribu kumpigia anty Shinune kasema eti nae kaokoka hakika kama jinsi ujuavyo bila kupatikaña hiyo kitu sidhani kama bibi kesho ataamka

Bibi kasema ni kueleze wewe anko Kapuku kwa kuwa anakuaminia hasa zile styre zako zakuchomekea suruali yenye viraka huku ukitembea kwa madaha mfano wa ile band ya Tarumbeta anaamini kama utakasa hakika huwezi kikosa kabisa....

Basi kama utapata usije kuleta hadharani nakuomba ufunge vilivyo ili watoto wasije kungamua kilicho chonde chonde usiache sory....
Wako Akupendae
Anko Zoba...
Mimi niliambiwa nitumie Chibuku muulize Bibi Vipi Ataiweza????
 
1996 - Meli ya Mv Bukoba yazama katika Ziwa Viktoria na kuua watu zaidi ya 700.

Ilikuwa ikitoka Bukoba kwenda Mwanza, ilizama karibu na pwani ya Bwiru.

Rais wa kipindi hiko, Benjamin Mkapa alitangaza siku tatu za maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti.

Makaburi ya wahanga wa tukio hilo yapo Igoma, Mwanza ambapo walioshindwa kutambuliwa na ndugu zao walizikwa hapo.
Hii ajali ilikuwa kubwa sana, pia mamlaka zetu hazijui kuzuia abiria kujazana kwenye vyombo vya usafiri

Ile meli ilijaza watu wengi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom