Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
siwaelewi ujue mm nimetekwa na naniHapana, huko sihusiki kabisa
siwaelewi ujue mm nimetekwa na naniHapana, huko sihusiki kabisa
Hahaaaa.My self introduce:
Username:Shedede aka mzeee mkavu
My wife:husna muba
My home relaxing:makapuku forums
Pamoja sana LeeWakuu sina la ziada kwenye segment yetuu
Salama T wa Sakayo za uzima?ubarikiweMama mchuchu mamboo?

shemela ndio mana nakupenda nitakuja pm kwako kukusalimia ktk vitu sivipi nafasi ni watu nipo hivyo hata ktk maisha yangu ya nje ya jfHajatekwa na mtu, amini hivyo
Shunie yuko na wewe bega kwa bega japo mnapita kwenye kipindi kigumu
Usisikilize watu
Wewe ni shunie
Na
Shunie ni Lee
Fikilia mara mbili mbili, mlikokotoka mlipo na mnapoenda
Ulikuja mara moja tu ukapotea tena ndio nakuona leo ankali wanguSasa ndio nisipewe utambulisho jamani
imebidi nicheke tu yaan weweWeweee Mimi ni Mimi..
Waambie wewe aiseejamaan hivi mbona unanifanyia hivi wa kuniteka nani mimi
nilikua kanisani
Kwanini umeamua Hivyo?yap,kipindi kile nilikuwa na kinyago ila sasa ni "verified user"
AiseeJana tulikua nae kwenye hamsha popo alikua anaimbisha![]()
fata moyo wako nini unataka ili uwe na amani ya moyoAlafu mm kabila linaruhusu kuongeza au kupunguzaa
AmenNi kweli mkuu,na bado naendelea kuwaombea wotee muwe na amani na upendo kwa wote..MUNGU ANATOA AMANI KULIKO AWAYE YOTE
YOHANA MTAKATIFU 14
27.Amani nawaachieni ;amani yangu nawapa,niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo .msifadhaike mioyoni mwenu wala msiwe na woga
ASEMA BWANA WA MAJESHI![]()
Niko pouwa..Salama T wa Sakayo za uzima?ubarikiwe![]()
Mtafute kwanzaBinamu roho yake ipo kwa mama mchuchu tu
Amen kuuDear ubarikiwe mpaka ushangae!!!

Kaaah?shemela ndio mana nakupenda nitakuja pm kwako kukusalimia ktk vitu sivipi nafasi ni watu nipo hivyo hata ktk maisha yangu ya nje ya jf
punguza unachotaka kupunguzaNtaongezajee bila kupunguza
Kuongeza sawa, kupunguza hapana
Hata mimi nashangaa, naambiwa eti ni kule kwenye uzi pendwa wa vibongesiwaelewi ujue mm nimetekwa na nani