shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ndio hivyo aisee amini tuWhaaaat??!! hata siamini![]()
Ndio hivyo aisee amini tuWhaaaat??!! hata siamini![]()
ZABURI 150

Amen, Asante mama mchungaji kwa nenoZABURI 150
1.Haleluya ,msifuni Mungu katika patakatifu pake,Msifuni katika anga la uweza wake.
2.Msifuni kwa matendo yake makuu,Msifuni kwa kadri ya wingi wa ukuu wake.
Msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3.Msifuni kwa mvumo wa baragumu ;Msifuni kwa kinanda na kinubi.
4.Msifuni kwa matari na kucheza,Msifuni kwa zeze na filimbi.
5.Msifuni kwa matoazi yaliayo;Msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6.Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA.HALELUYA![]()
TUOMBE
BABA katika jina la Yesu asante kwa Upendo wako mkuu kwetu hata kutuamsha salama na wazima.
Tunajikabidhi mikononi mwako utulinde utuongoze utuponye.
Tunaomba utuepushe na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali.
Tunakushukuru,Tunakusifu,aTunakuabudu,Tunakushukuru na kwa Pumzi zetu tunalisifu jina lako daima HALELUYA.
Asante Baba kwa yote unayotutendea maana hatuna namna ya kuyaeleza tunashukuru.
Ponya wagonjwa,wafiwa,waliovunjika moyo,yatima wajane. usiwapungukie Mfalme wa Amani.Walinde wasafiri nchi kavu,majini angani wafike salama
Asante Baba na tunaomba ufanye yote sawasawa na mapenzi yako.
JUMAPILI YA LEO BABA TUNAOMBA TUKUTANE NAWE POPOTE TULIPO.
Tunaomba yote katika jina la Yesu amen.
JUMAPILI NJEMA WAPENDWA![]()
![]()
![]()
Asante kwa magazeti Hny Mungu akubarikiKutoka kwenye Meza ya magazeti sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa Yanga kuchukua Ubingwa wa VPL
Nawatakieni jumapili njema
Njema ubarikiweHabari ya jumapili makapuku wote
Mama mchungaji nimekumisssssNjema ubarikiwe
Do you really need to hear?its so simple,open your ears,off your radio,remove your earphone. Read your bible![]()

Asante mama mchungajiiiZABURI 150
1.Haleluya ,msifuni Mungu katika patakatifu pake,Msifuni katika anga la uweza wake.
2.Msifuni kwa matendo yake makuu,Msifuni kwa kadri ya wingi wa ukuu wake.
Msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3.Msifuni kwa mvumo wa baragumu ;Msifuni kwa kinanda na kinubi.
4.Msifuni kwa matari na kucheza,Msifuni kwa zeze na filimbi.
5.Msifuni kwa matoazi yaliayo;Msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6.Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA.HALELUYA![]()
TUOMBE
BABA katika jina la Yesu asante kwa Upendo wako mkuu kwetu hata kutuamsha salama na wazima.
Tunajikabidhi mikononi mwako utulinde utuongoze utuponye.
Tunaomba utuepushe na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali.
Tunakushukuru,Tunakusifu,aTunakuabudu,Tunakushukuru na kwa Pumzi zetu tunalisifu jina lako daima HALELUYA.
Asante Baba kwa yote unayotutendea maana hatuna namna ya kuyaeleza tunashukuru.
Ponya wagonjwa,wafiwa,waliovunjika moyo,yatima wajane. usiwapungukie Mfalme wa Amani.Walinde wasafiri nchi kavu,majini angani wafike salama
Asante Baba na tunaomba ufanye yote sawasawa na mapenzi yako.
JUMAPILI YA LEO BABA TUNAOMBA TUKUTANE NAWE POPOTE TULIPO.
Tunaomba yote katika jina la Yesu amen.
JUMAPILI NJEMA WAPENDWA![]()
![]()
![]()
Mungu watangulie serengeti boys washinde mechi iliyo mbele yaoCAF CONFEDERATION CUP UNDER 17
Result
Fixture![]()
![]()

Acha tu yaani, ipo siku haya maua yatabadili njia kuja upande wangu na mimi nitayapokea, kuyapanda , kuyamwaigilia na yatamea bila kunyauka

Serengeti boys watashinda, Mark my word(s)Mungu watangulie serengeti boys washinde mechi iliyo mbele yao![]()
![]()
![]()
Milele aminaaBwana Yesu asisifie watu wa Mungu
Nipo hapa ndugu yanguNiitiee Mama mchuchu kwanza

![]()
![]()
mama mchuchu ebu mfikilie binamu yangu muweke ata stoo
nikianza fitina usilie na kuanza kumwachia Mungu
Ma kunisahau ushanisahauNipo hapa ndugu yangu![]()
Ahahahaaaaa![]()
![]()
![]()
nikianza fitina usilie na kuanza kumwachia Mungu