Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Wewe jitoe ufahamukisanini
Wewe jitoe ufahamukisanini
Bwana Asifiwe ,unaendeleaje?ubarikiwe sana haveva wonderful SundayBwana Yesu asisifie watu wa Mungu

Polen wote waliokuewa wameguswa na ajali hyo kwa namna moja au nyingine,Mungu awape pumziko marehemu wote wa ajali hyo1996 - Meli ya Mv Bukoba yazama katika Ziwa Viktoria na kuua watu zaidi ya 700.
Ilikuwa ikitoka Bukoba kwenda Mwanza, ilizama karibu na pwani ya Bwiru.
Rais wa kipindi hiko, Benjamin Mkapa alitangaza siku tatu za maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti.
Makaburi ya wahanga wa tukio hilo yapo Igoma, Mwanza ambapo walioshindwa kutambuliwa na ndugu zao walizikwa hapo.
Ni kweli tutashindaSerengeti boys watashinda, Mark my word(s)
Amen mtumishiBwana Yesu asisifie watu wa Mungu
Kwema, afadhali umekujaKama kawa
Kwemaaa?
Lee anakutafutaNipo hapa ndugu yangu![]()
BarikiwaLeo katika Historia;
Siku njema.
Chaubama jendio hyo tu ambyo ilifutwa.

.Mukongo mambo
kunani??Kwema, afadhali umekuja
Safi shemu kwemaWakuuu habar nimesikipu
ShemBarikiwa
Baada ya kumposa shunie ndo ukaacha kaziimie kazi niliacha saa ming mbona