Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sio kweli, mama mchungaji kila siku alikuwa anasali kuiombea familia yako na kupata ulinzi huko porini
Ni kweli mkuu,na bado naendelea kuwaombea wotee muwe na amani na upendo kwa wote..MUNGU ANATOA AMANI KULIKO AWAYE YOTE

[emoji524] YOHANA MTAKATIFU 14
27.Amani nawaachieni ;amani yangu nawapa,niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo .msifadhaike mioyoni mwenu wala msiwe na woga

ASEMA BWANA WA MAJESHI[emoji120]
 
Back
Top Bottom