Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
SicheleweshiBroo kazi kwako
SicheleweshiBroo kazi kwako
Achana naye mchawi huyo babyHapana mi sio
ahhaah haupo porini leo nipo zangu ndani ya duvet sina shida na hii mvua rahaa utamuEeeh! Naisikia pia
Hahahha halaf mnakataa mkiambiwa mnaishi darEeeh kumbe hadi huko IPO... Ngoja nizime hili li Ac maana nisilazimishe kupata mafua bure
With no doubt kakaHere we go!
Let me see if you can roll your tongue perfectly..![]()
Hahah Niko kishimundu huku mkuu...Hahahha halaf mnakataa mkiambiwa mnaishi dar

Ni kibuku mkuuChibuku ya nini Nyagei? Au ya mnazi kama Ngoswe na Mitomingi
Afu hii mvua ya dar huwa inanoga zaidii ukiwa na wa ubanii... " tofouti na hivyo ni karaha tupu.. Ngoja nimalizie Heineken yangu ya mwisho nitafute gubigubi nilale kabisaa![]()
![]()
![]()
acha nilale na hii mvua ya ghafla
Haswaa![]()
anywe apate afya
Heshima kwako NyageiNi kibuku mkuu
Yaani toka umeniacha pale njia panda mpaka leo sijarudi nyumbani nimepoteaSafi nyagei mbona kimya
Hapo ni clear mkuuDada shunie![]()
kitu vipi eti!
Wapi huko?Yaani toka umeniacha pale njia panda mpaka leo sijarudi nyumbani nimepotea
Ahsante mkuu Ila kwa sasa tunalisongesha tena kiroho mbayaPole sana
Inazidi kuchachukaMimi winetu shemela, hata ikae miaka kumi haichachi
Nilikuwa mpole sana ugeni mwingiVizuri, ila haukuwa na makeke sana kipindi hicho