Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Niko nafuta kijana achukue nafasi yako...Ukitoka huko nitaomba unipandishe cheo
Nataka weww uwe chief Guard.
Niko nafuta kijana achukue nafasi yako...Ukitoka huko nitaomba unipandishe cheo
shikamoo baba mchuchuHujambo Shunie?
Nilichofurahia ni kuachana na M6 avatarSo niendelee tu na ucheshi mkuu au washauri vipi?
Nyumbani, mwambie unapumzika tunafanya nini wapi
Ni kweli ila siwezi force mwiliUkizingatia ilikuwa ndio weekend inaanza
hapana shem asanteKili na kande shem karibu
Naona mkorea kaanza vizuriMpira ndivyo ulivyo
Umekula lakinihhaaha ngoja nimwite leo aje kutembea kwetu cuzoo wangu shemela namshkuru Mungu naendelea vizuri
KumbeeVizuri itakuwa vyema sana akikuja huku
Muziki ni Kujitafakari
Habari za kutwa nzima na sasa uziku umeingia Makapuku wenzangu. Ni imani yangu kuwa umekuwa na wikend zuri na sasa ni mwisho wa wikend. Binafsi nimekuwa na weekend nzuri, nashukuru sana.
Nimekaa namsubiri Sweetiepie alete ngoma maana alisema Jumamosi na Jumapili atazimilik yeye (au ni mimi ni sikujihoji alikuwa anaongelea jmosi na jpili zipi? Maana hakuweka tarehe yaani ni kama SHIMBA YA BUYENZE na ahadi yake ya 'stupid criminals).
Wakati tunaendelea kuwasubiri hawa wadau basi nikaona si vibaya tukapata nyuzi kidogo za gitaa kutoka kwa wadonoaji mahiri. Na leo tunaenda USA na tunamkuta Gillian Welch.
Nilipomsikia mara ya kwanza nikadhani ninamsikiza Alison Krauss lakini mara nilipoona video clip yake nikajua niliongeza sukari kwenye asali.
Gillian anajua kulipiga gitaa na anavyolipakata huwezi amini kama gitaa lake lina nyuzi sita tu na shanga zake shingoni. Nyimbo zake kama alivyo Alison Krauss ambaye huimba na Robert Plant, yeye huimba na mpiga gitaa mwingine anayejua kwa jina la David Rawlings.
Na namna anavyolipiga gitaa lake hakyanani masikio yako yasipotabasamu basi inabidi umuone dakitari wa meno.
Keshashinda tuzo kadhaa ikiwemo ya Grammy.
Hebu tumwangalie hapa akicharaza gitaa katika Elvis Presley Blues. bhbb
Shunie , sijui kwanini silipendi jina mkuu, ukipona kikamilifu nitakujuza kwanini silipendi.
mzee wa saa mpya
binamu mm nitaanza kukuita mkuuHebu tupia tuioneNilichofurahia ni kuachana na M6 avatar
Tumwombee apone haraka,Mungu atakusaidia utapona dear
Hivi mlikua pamoja mbona mmekuja pamoja jaman binamu obe atakufwaaa
I see
Chaplin kwenye ubora wake
Aisee, akilipuka hapo dahKaribuni![]()
Nipo shemelaAmeen mke mweehshemela wangu yuko api
Shemela kwa nini ushindi wa leo hamjashangilia ile wenyeweAsante sana