8. Fainali ya kombe la Dunia ilikiwa ni Argentina Vs Ujerumani.
Ambapo ilikuwa ni marudio ya fainali ya mwaka 1986 iliyofanyika Mexico.
Safari hii Ujerumani alilipa kisasi kwa kuifunga Argentina bao 1-0 na kutwaa ubingwa huo.
Hayi ni mambo kadhaa ya kukumbukwa ambayo niliona nishee nanyi.