Makapuku Forum

Makapuku Forum

ffd3e85a83ac55465331f698184e06aa.jpg
ee1d718a9640a58d52e8780c3547ae29.jpg
bdce0d54ce0e3ccb339cfa9356a35c08.jpg
Japokuwa ni untama lakini aliona mbali
Jinsi Wayahudi walivyo na IQ pengine Hii leo wangekuwa ni Taifa lenye nguvu na tishio kama Urusi
........
Takribani Wayahudi milioni 6 waliuwawa chini ya utawala wa Hitler.
Ni moja kati ya Uhalifu mkubwa dhidi ya binadamu kuwahi kufanywa duniani.
 
1982 - Petr Cech anazaliwa.

Kipa namba 1 wa Arsenal na timu ya taifa ya Czech.

Amewahi pia kudakia Chelsea kwa mafanikio makubwa sana.

Ni mmoja wa magolikipa mahiri kuwahi kucheza EPL.
4296b4861b155a2c46447a958395ed07.jpg
82ae60b596be30da63bb4156074a3baf.jpg
e8997777bf7414bf27eaf1aef97700b0.jpg
Tangu agongane uwanjani na kupasuka fuvu na hivyo kuzimia na kunusurika kifo bila helmet hachezi mpira
Courtois ndo aliyemfanya akimbie pale darajani
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom