Makapuku Forum

Makapuku Forum

Miaka minne baadae, Kwenye Kombe la Dunia lililofanyika pale Marekani, Roger Milla alifunga goli akiwa na miaka 42 na kumfanya kuweka rekodi ya kufunga goli akiwa na umri mkubwa zaidi.
5fb980103f9fafbdc2a73b06a00d9a81.jpg
16b21f4e9ebac43ee4486f601c9c2d59.jpg
Hadi leo nafikiri rekodi haijavunjwa
Ila Waafrika wa sasa ni mabingwa wa kudanganya umri/kupunguza miaka
......
 
1924 - Zelmar Michelini anazaliwa.

1976 - Zelmar Michelini anafariki Dunia.

Alikuwa ni mwandishi wa habari kutoka nchini Uruguay.

Aliuwawa kutokana na misimamo yake katika kazi yake.

Ni mmoja kati ya watu maarufu wachache kuzaliwa na kufariki tarehe na mwezi unaofanana.
7323c45cd6b3e6956723d5134a0401b5.jpg
7ac5cfb2a769fe2671bd04b45c564fb3.jpg

Hii ni nadra sana
Watu wanashindwa waadhimishe ipi kati ya birthday na deathday
.....
 
5fb980103f9fafbdc2a73b06a00d9a81.jpg
16b21f4e9ebac43ee4486f601c9c2d59.jpg
Hadi leo nafikiri rekodi haijavunjwa
Ila Waafrika wa sasa ni mabingwa wa kudanganya umri/kupunguza miaka
......
Rekodi bado ipo imesimama haijavunjwa.

Kikosi kile cha Cameroon mwaka 1990 kilimfanya marehemu Pepe Kalle kutunga nyimbo mahsusi kwa Roger Milla na kikosi kizima cha Simba Wasiofugika ( Indomitable Lions ).

Ikumbukwe mechi ya ufunguzi wa Kombe la Dunia mwaka 1990 pale Italy, ilkuwa ni Argentina ( Mabingwa watetezi ) dhidi ya Cameroon.

Mechi iliisha kwa Cameroon kuifunga Argentina 1-0 , huku Diego Armando Maradona akibanwa vilivyo kabisa ( Man marking ) na Emanuel Kunde na matokeo hayo kuishangaza Dunia.

Cameroon ikaenda hadi robo fainali alitolewa na England. Hivyo kuwa timu ya kwanza ya Afrija kufika robo fainali ya WC.
 
Rekodi bado ipo imesimama haijavunjwa.

Kikosi kile cha Cameroon mwaka 1990 kilimfanya marehemu Pepe Kalle kutunga nyimbo mahsusi kwa Roger Milla na kikosi kizima cha Simba Wasiofugika ( Indomitable Lions ).

Ikumbukwe mechi ya ufunguzi wa Kombe la Dunia mwaka 1990 pale Italy, ilkuwa ni Argentina ( Mabingwa watetezi ) dhidi ya Cameroon.

Mechi iliisha kwa Cameroon kuifunga Argentina 1-0 , huku Diego Armando Maradona akibanwa vilivyo kabisa ( Man marking ) na Emanuel Kunde na matokeo hayo kuishangaza Dunia.

Cameroon ikaenda hadi robo fainali alitolewa na England. Hivyo kuwa timu ya kwanza ya Afrija kufika robo fainali ya WC.
1d24ab5810ad3034789844e53f935b84.jpg
5a6a7eddb52513a37bb96d2c3d911a55.jpg
ff3ed08574e0bd77530cf310d392ab83.jpg

Yaleyale ya Senegal 2002 pale Japan na Korea Kusini
Mechi ya kwanza walimtabdika bingwa mtetezi kwa nao 1 lililofingwa na Papa Bouba Diop
Ikafika hadi robo fainali
.......
 
Yaleyale ya Senegal 2002 pale Japan na Korea Kusini
Mechi ya kwanza walimtabdika bingwa mtetezi kwa nao 1 lililofingwa na Pape Diop
Ikafika hadi robo fainali
.......
Kweli matukio yanafanana sana.

Kikosi kile cha Marehemu kocha Bruno Metsu hakika kiliushtua Ulimwengu wa soka.

Wachezaji mahiri kama Tony Silva, Omar Daf, Khalilu Fadiga, Nahodha Aloiu Cisse ( kocha wa sasa ), Ferdinand Colly, Papa Bouba Diop, Hussein Diouf, Henry Camara na wengineo hakika kilikuwa ni kikosi cha dhahabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom