Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
toka lini lee empire ni mme wakoMume[color] karidhia niwe mshauri wake. Sijamlazimisha
toka lini lee empire ni mme wakoMume[color] karidhia niwe mshauri wake. Sijamlazimisha
Unaniabisha ujue..
Kwanini kipindi kile form six ulikuwa unatongoza vipi
Nilikuwa shule za dini braza.hahahaaaaa jiwe gizaniIshia hapo hapo tuu manake mimi mwenyewe naweza kukushughulikia
shedede achana navyo hivyo usiwape watu wengine kiki watapanda mm nikishuka ww jua tu lee ni wa shunie na shunie ni wa leetoka lini lee empire ni mme wako
Shemela usiwaze hayo.wanataka kumteka na yeye sijui anapenda kutekwa
No umenielewa vibaya. Mume wa Shunie kaniomba niwe mshauri wake.toka lini lee empire ni mme wako
waombolezaji watalewaCheka Unenepee:
HUYU NDIE MLEVI!!!!!:
1,Akipata kazi ANALEWA
2,Akifukuzwa kazi ANALEWA
3,Akioa ANALEWA
4,Akiachika ANALEWA,5,Akifurahi ANALEWA,
6,Akichukia ANALEWA
7,Akipandishwa cheo ANALEWA,
8,Akishushwa ANALEWA
9,Akijenga nyumba ANALEWA
10,Akinunua gar ANALEWA
11,Akipata ajali ANALEWA,
12,Akimpata mtoto ANALEWA
13,Akifiwa ANALEWA
14,Akisifiwa ANALEWA
15,Akikosolewa ANALEWA
16,Akishiba ANALEWA
17,Akiwa na njaa ANALEWA
18,Timu yake ikishinda ANALEWA
19,Timu yake ikifungwa ANALEWA
LABDA AFE TUU NDIO HATALEWA*Mlevi nomaaaaaa
♂♂♂♂♂♂♂♂
Hahahaaaa!![]()
mnanitamanisha au sijui ndio mana naumwa umwa hamu zimezidi lee wangu ufanye tu urudi


Kila mtu kasoma seminary hapa..
Nataka niweke bandiko la kutafuta wa kuendana nae.hahahha shedede na husna watakubali kupinduliwa
Naona mnaungana na demi kumpindua shunie..shedede achana navyo hivyo usiwape watu wengine kiki watapanda mm nikishuka ww jua tu lee ni wa shunie na shunie ni wa lee
hahahah wanaume wote wangekua kama wewe hivyo wanavyoimbisha hamna ambae angekataliwa
Mi sijamuona tangu jana usiku.bado nimekuja kumuangalia lee wangu
Nilijaribu ku-play part yangu kama hamna tatizo ngoja nitulieshedede achana navyo hivyo usiwape watu wengine kiki watapanda mm nikishuka ww jua tu lee ni wa shunie na shunie ni wa lee

Mna gogoro yoyote na demi!?toka lini lee empire ni mme wako
shedede achana navyo hivyo usiwape watu wengine kiki watapanda mm nikishuka ww jua tu lee ni wa shunie na shunie ni wa lee
shemela lazima niwaze nina moyo mm ujue sio chuma
Hahahaaaa!
Unataka kusema nyegezi wanaleta malaria?
Wacha ujinga wewe, meza mseto utulie
mseto simezagi kabisaaa achana na nyegezi lee urudi baba nahisi kuwa chizi
Duh! Nyegezi ipi hiyo?Hahahaaaa!
Unataka kusema nyegezi wanaleta malaria?
Wacha ujinga wewe, meza mseto utulie