Makapuku Forum

Makapuku Forum

Belgium playoffs europa league group
d62f7490d610be7eb10818211ccdbc5b.jpg
 
Malcom X enzi za uhai wake aliwahi kukanyaga Zanzibar na kufanya mazungumzo na msomi mahiri kuwahi kutokea Zanzibar na mwanamapinduzi Abdulrahman Mohamed Babu kuhusu masuala ya Ujamaa na haki za watu weusi.

Bahati mbaya Babu hakuwahi kupatana na Karume na akahamishiwa Bara kikazi baada ya Muungano. Ni mmoja kati ya waasisi wa Muungano.

Bitoz tunaomba picha za Malcom X na Babu.
38c5355ba2a8763dde3a8603d558f710.jpg
8b8c4feafa400adec65bdd7fb8378536.jpg
00fcf6628bf1966ce7427eba43598be5.jpg

Ni kweli aliwahi kuja Zenji
Nyerere na Karume mapungufu yao mengi yanafichwa
Kila aliyejaribu kuwakosoa ilikuwa ni km anakosoa nchi nzima
.....
 
Ndio maana mke wa JFK akaona kuliko kwenda kuadhirika na kuumia moyo akawachukua watoto na kwenda kuangalia mbio za farasi.

Jambo pekee la kumtenganisha JFK na Ms Monroe ilikuwa ni kifo tu.
Na hapo ndipo dikteta John Edgar Hoover alipotekeleza majukumu yake.
bb9ae52df132cf4b5e19411d367861b3.jpg
a3313382c6948ce8b496d9bf4f46d429.jpg
2f30aedf8e3d15204ada147313bc13c8.jpg
Alikuwa amefariki dunia chumbani kwake August 5 1962
Huku pembeni nikiwa na kilaji na dawa za kule vya(inasemekana ziliwekwa tu ili kupoteza ushahidi)
Ni kifo chenye utata zaidi km cha JFK mwenyewe kilichomkuta
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom