Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,563
ImenishangazaImefanyaje?
ImenishangazaImefanyaje?
1994 - Jacqueline Kennedy anafariki Dunia.
Alikuwa ni mke wa zamani wa Rais wa Marekani John F. Kennedy.
Wamepata lini uhuru?1991 - Wananchi wa Croatia wanapiga kura ya kudai Uhuru wao.
Ukikua utajuaMm bado mdogo siyajui ya huko..
Nashukuru Mungu naendelea vyemaMkuu. Uko mzima lakini?
Bado uko na wenge la jana?Hahaaaa..
Tulia mkuu..vibes za jana zilikuwa unstopable
Shukrani mkuu Mussolin5Leo Katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Jinena Jimeneza JJ, niwatakie siku njema na Ijumaa iliyo murua kwako.
Ijumaa Karim.
AiseeNdio maana mke wa JFK akaona kuliko kwenda kuadhirika na kuumia moyo akawachukua watoto na kwenda kuangalia mbio za farasi.
Jambo pekee la kumtenganisha JFK na Ms Monroe ilikuwa ni kifo tu.
Na hapo ndipo dikteta John Edgar Hoover alipotekeleza majukumu yake.
Kaa nasi ili usije kupotea kwa kushangaaImenishangaza
SwalamaaJaman kwema humu ,?Mko salma salmini??
Sana tuZenji bado wanaipenda CCM
Salma salmini sijui huko ?Swalamaa