Makapuku Forum

Makapuku Forum

7d6ce280671dae98ba2da278940afe46.jpg

End
...........
Thanks bitoz
 
Huku ni amani kabisa
Full utani
Utapata elimu na burudani non stop

Asubuhi utapata neno la uzima kuna magazeti na historia +picha
Baadae kuna Je wajua na ratiba za michezo
Kisha story
Na jioni utapata 10 bora na neno la uzima kisha burudani ya muziki mzuri wa kulalia.


BTW nisikuchoshe na maneno mengi
Unatumia sharubati gani nikuletee

Jina lake limekaa kama mtu wa monde na si sharubati
 
ISAYA 59

1.Tazama, mkono wa BWANA haukupunguka hata usiweze kuokoa ,wala sikio lake si zito lisiweze kusikia.

TUOMBE

Tunakushukuru BABA MUNGU kwa ulinzi wako umetuamsha salama.
Tunaomba toba kwa makosa yetu yote.
Asante kwa ulinzi wako usiku kucha.
Tunajikabidhi mikononi mwako mchana wa leo.
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa ,wajane yatima na wahitaji.
Bariki kazi za mikono yetu
Bariki wasafiri angani nchi kavu na majini wafike salama
Bariki wamama wajawazito wapate kujifungua salama maana huo ni mpango wako kwetu sisi wanadamu
Wasaidie suluhisho sahihi wale wote wenye kupitia changamoto mbalimbali.
Asnte Baba mapenzi yako yatimizwe maana mkono wako haupungui kwetu,sikio lako linasikia kuomba kwetu.

Katika jina la Yesu,Amen

SIKU NJEMA MBARIKIWE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom