Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170518-WA0023.jpg
 
NUKUU YA LEO

If you want something New, you have to stop doing something old


Kama unataka kitu kipya, unapaswa kuacha kufanya kitu cha zamani
a282142d207e0ac182b3ef1bb0c39065.jpg

Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mkufunzi, mwalimu na mwandishi wa mambo ya utawala na uongozi Bw. Peter Fernand Drucker.

Peter Drucker alizaliwa November 19 1909 nchini Austria na kufariki November 11 2005 ktk jiji la carlifonia nchini marekani.

Peter Drucker ni mkufunzi na mbobezi wa masuala ya uongozi na utawala..Amefanya kazi nyingi katka muda wa miaka 95 aliyoishi dunia

Peter Drucker ndio Father of modern management.
2f1f6e566faf34fd13d27e6efad65df2.jpg
d18591bc0ad14f14291615aa83954e24.jpg

Back to Jf and kapukuz..

Ukitaka mambo mapya acha kufanya mambo ya zamani..

Maisha ni yako, uamuzi ni wako, hatua ni zako wewe mwenyewe.

FYI: Gwiji huyu aliandika ile makala fupi iitwayo 'Not Enough Generals Were Killed" na akasema mambo kama manne hivi kuhusu utawala

1. Kiongozi lazima uwe na wafuasi
2. Umaarufu wa kiongozi haumfanyi awe kiongozi bora, matokeo ndiyo humfanya awe kiongozi bora, sio kusemasema kama mtoto wa miaka 7
3. Kiongozi huonekana zaidi hivyo ni vizuri akwa mfano bora
4.Uongozi sio cheo, hisani, jina au pesa. Uongozi ni kuwajibika.

Na zaidi kiongozi sio mhubiri tu, kiongozi ni mtendakazi (a doer).

Kiongozi bora hukaa mbele ya wapigananji wake ili kuhakikisha matokeo yanayopatikana ni ya wote na yaliyokubaliwa na wote. Na kwa sababu vita vya dunia hasa upande wa Austria ilishindwa vibaya ni kwa sababu majenerali hawakufa vya kutosha, wao walikaa nyuma na kusakizia wapiganaji mbele bila kuwa na ramani.
Not enough generals were killed. Asante mdau kwa nukuu ya leo
 

Asante kwa magazeti Shululu, na hii habari ya ushauri wa IMF kwa serikali kusaidia sekta binafsi ndiyo imenivutia.
Tunakoenda na aina ya uchumi unaosambaa dunia kote ni sekta binafsi kuwa waajiri wakuu na si serikali. Usipomwezesha mama ntilie afungue mgahawa mzuri, mkandarasi aajiri wengi, mfanyabiashara afanye biashara na mengine mengi ya PS basi kupambana na bomu la ajira kwa vijana itachukua muda sana
 
Asante kwa magazeti Shululu, na hii habari ya ushauri wa IMF kwa serikali kusaidia sekta binafsi ndiyo imenivutia.
Tunakoenda na aina ya uchumi unaosambaa dunia kote ni sekta binafsi kuwa waajiri wakuu na si serikali. Usipomwezesha mama ntilie afungue mgahawa mzuri, mkandarasi aajiri wengi, mfanyabiashara afanye biashara na mengine mengi ya PS basi kupambana na bomu la ajira kwa vijana itachukua muda sana
Asante Obe, usemacho ni kweli na ps kwa sasa iko hoi
 
FYI: Gwiji huyu aliandika ile makala fupi iitwayo 'Not Enough Generals Were Killed" na akasema mambo kama manne hivi kuhusu utawala

1. Kiongozi lazima uwe na wafuasi
2. Umaarufu wa kiongozi haumfanyi awe kiongozi bora, matokeo ndiyo humfanya awe kiongozi bora, sio kusemasema kama mtoto wa miaka 7
3. Kiongozi huonekana zaidi hivyo ni vizuri akwa mfano bora
4.Uongozi sio cheo, hisani, jina au pesa. Uongozi ni kuwajibika.

Na zaidi kiongozi sio mhubiri tu, kiongozi ni mtendakazi (a doer).

Kiongozi bora hukaa mbele ya wapigananji wake ili kuhakikisha matokeo yanayopatikana ni ya wote na yaliyokubaliwa na wote. Na kwa sababu vita vya dunia hasa upande wa Austria ilishindwa vibaya ni kwa sababu majenerali hawakufa vya kutosha, wao walikaa nyuma na kusakizia wapiganaji mbele bila kuwa na ramani.
Not enough generals were killed. Asante mdau kwa nukuu ya leo
Hatari sana mkuu..

Shukrani kuwa kuna watu mnapitia vitabu na maandiko maarufu..

Huyo jamaa alikuwa kichwa sana kwenye mambo ya uongozi..

Amechukua tuzo ya presidential medal of freedom mwaka 2002.

He was go at it and he worked on his potential..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom