Makapuku Forum

Makapuku Forum

0c6c5ee15791ef1da78173e34c72e8e1.jpg
 
Tutasaidiana Obe ondoa shaka, huwa unaweka lini mangoma?

Asante.
Huwa naweka kila siku na kuna utofauti kidgo kwa ninazopandisha hapa. Mimi hujikita zaidi kwa wapigaji wa gitaa, ninamchagua mmoja, nasaka historia yake (wengi nimesikiza nyimbo zao) na kushare na wadau.

Clip nazotupia nyingi ni za YouTube.

Hivyo, kama ukiamua kutupia muziki kiujumla itakuwa poa na kama utaamua kujikita kwenye kijisehemu cha muziki basi itakuwa poa zaidi kubwa ni kuburudisha jukwaa baada ya mihangaiko ya siku nzima.

Kingine, mimi hutundika kipengele changu muda wa usiku.
 
bhinamu nisamehe kwa niaba ya kapuku wote ..yaani hapa ndo nimepata upenyo wa kulala kidogo nikapita kwa familia yangu pendwa

shangazi yako sijiu aliyemtolea ya moyoni kule ndo kamficha wala sielewii ,,

Asante sana kwa kupata kijinafasi na kuja kutupa Hi.

Shangazi atakuwa amejituliza tu akikuwaza si unajua dunia imevaa kimini full kuchacharika
 
Asante.
Huwa naweka kila siku na kuna utofauti kidgo kwa ninazopandisha hapa. Mimi hujikita zaidi kwa wapigaji wa gitaa, ninamchagua mmoja, nasaka historia yake (wengi nimesikiza nyimbo zao) na kushare na wadau.

Clip nazotupia nyingi ni za YouTube.

Hivyo, kama ukiamua kutupia muziki kiujumla itakuwa poa na kama utaamua kujikita kwenye kijisehemu cha muziki basi itakuwa poa zaidi kubwa ni kuburudisha jukwaa baada ya mihangaiko ya siku nzima.

Kingine, mimi hutundika kipengele changu muda wa usiku.
Basi segment yangu ya Old is gold nadhani inaweza ikabaki pale pale, cos nahisi haudeal na miziki ya zamani yes?
Mi nilikuwa nadeal na Oldies+ Old skulz....
 
Basi segment yangu ya Old is gold nadhani inaweza ikabaki pale pale, cos nahisi haudeal na miziki ya zamani yes?
Mi nilikuwa nadeal na Oldies+ Old skulz....
Kila mtu aendelee na chake
Hakuna ubaya wowote
One yy analetaga wa hapa hapa zaidi na hata wa mamtoni
Ww unaletaga wa mamtoni
Hakuna tatizo lolote maana hamtapost kitu kimoja
.........
 
Basi segment yangu ya Old is gold nadhani inaweza ikabaki pale pale, cos nahisi haudeal na miziki ya zamani yes?
Mi nilikuwa nadeal na Oldies+ Old skulz....


Hii itakuwa poa sana mdau, napenda oldies pia. Jukwaa litachangamka sana.

Utakuwa unapandisha siku gani, au siku zote za juma. Naweza kuwa natupiatupia kama utakuwa na uchaguzi wa siku ili tuifanye iwe ya kipekee zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom