Makapuku Forum

hahah! vip ulifanikisha hadhima yako ya kujiangalia kwenye vioo vya mjini
hahahahaaa some how yes/no...
si unajua huwezi ukasimama moja kwa moja unajiangalia, unatembea huku unajiangalia,
akili yako uigawe mara tatu, kwanza unapoelekea usigongane na mtu
pili mtu asigundue kama unajiangalia kwenye kioo
tatu ujue kama upo chicha au ovyo
 
Mmmh Jinamizi la rambirambi linawatesa wengi.

Apumzike kwa Amani Mafisango
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…