Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

"Climate change is happening, humans are causing it, and i think this is perhaps the most serious environmental issue facing us ''

''Mabadiliko ya hali ya hewa yanatokea, binadamu ndiye anayeyasababisha na nina fikiri kuwa linaweza kuwa jambo zito la kimazingira linalotukabili''.

Haya maneno yalitamkwa Novermber 26 2016, na Mtangazaji na mwandisi wa masuala ya mitambo Bw. William Sanford Nye, alimaarufu kama bill nye the science guy.

Bill nyee alizaliwa November 27 1955 huko washington D.C nchini marekani.Billy nyee alikuwa ni mwandisi mitambo (mechanical Engineer) wa ndege za boeng kabla ya kuacha kazi hiyo na kuanza kurusha vipindi vya kuchekesha na sayansi wa watoto.

Bill nye ameandika vitabu vingi kama The big bag Theory, Dancing with stars n.k, jamii ya wamarekani inatambua sana mchango wako hasa kwa vipindi vya sayansi kwa watoto wadogo, hivyo alishapata tuzo kadhaa.
f3e4c993ade3b3e85f66f40569a1832d.jpg
b2e6d79fcb3eb64fb3ead6adc01e579d.jpg
d31f91530926f829d430cb1e4c83bf49.jpg

wakuu Tunzeni mazingira! mazingira yatawatunza.
Pamoja sana mkuu
Bill Nye is just the guy
...

 
1980 - Jenerali Chun Doo-hwan wa Jeshi ka Korea Kusini anaamuru serikali ichukue nguvu za kijeshi ili kudhibiti maandamano makubwa yaliyofanywa na Wanafunzi wa Nchi hiyo.

Ni moja kati ya maamuzi ya hovyo kuwahi kufanywa na utawala wa Jeshi duniani.
823d1e41d016c4b2f7fc81c85cdecefa.jpg
838eaf2f6eb0652755f59841ed2960c4.jpg

Je alifanikiwa kuzuia "peoples power"?
Maana inaonekana hapo juu aliachia ngazi August mwaka huphuo
........
 
ISAYA 43

1.Lakini ,sasa BWANA aliyekuhuluku,Ee Yakobo,yeye aliyekuumba .Ee Israel,asema hivi,USIOGOPE,maana nimekukomboa;nimekuita kwa jina lako,WEWE U WANGU...(SISI NI WA MUNGU)

HAPA TUNAITWA KWA MAJINA YETU

-FAKALAVA
-LEE EMPIRE
-OBE
-WERASSON
-SHUNIE
-SHULULU
-CYLKEI
-NYAGEI
-MUSSOLIN5
-SHIMBA YA BUYENZE
-BITOZ
-SHEDEDE
-TUMOSA
-MONDRAY
-QUIGLEY
-SAKAYO
-TRANCSEND
-VALENTINA
-BLESSEDHOPE
-BAILY5
-HUSNA MUBA
-IPOGOLO
-UKHUTHY
-QUEEN
-TETRA....
-ARCHIDUKE
-SNIPES
-MNDALI
-MSAKA-UCHAWI
-DINGIMTOTO
-MAKAPUKU WOTE
NA WENGINE SIJASHIKA MAJINA (MNISAMEHE)UJUMBE HUU UNATUHUSU ASUBUHI YA LEO

2.Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe,na katika mito ,haitakugharikisha,uendapo katika moto hutateketea,wala mwali wa moto hautakuunguza.

3.Maana mimi ni BWANA MUNGU wako ,MTAKATIFU wa Israel,MWOKOZI wako ,nimetoa Misri kuwa ukombozi wako ,nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako.

4.Kwakuwa ulikuwa waTHAMANI MACHONI PANGU,na mwenye KUHESHIMIWA,nami NIMEKUPENDA,Kwasababu hiyo nitatoa WATU kwa ajili yako ,na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako

5.USIOGPE MAANA MIMI ni PAMOJA nawe,nitaleta wazao wako toka magharibi.


Wapendwa Mungu anatupenda sana ,na ametupa matumaini ya kuishi kwa furaha na hata TUSIOGOPE

TUSIOGOPE MAANA YUKO PAMOJA NASI.ANATUPENDA,ANATUTHAMINI,ANATUJALI

WOGA HULETA KUKATA TAMAA NA HAKIKA HATUPASWI.

KWALOLOTE TUNALOPITIA TUMTANGULIZE MUNGU MBELE YEYE NDIO MUANZILISHI NA MMALIZIAJI WA MAISHA YETU.

TUFANYE KAZI KWA BIDII,TUMHESHIMU,TUMPENDE NA HAKIKA TUTAYAONA MEMA MENGI NA AHADI ZAKE ZOTE ZITATIMIA

TUOMBE

Baba asante kutuamsha salama
Asnte kwa upendo wako usio na mwisho
Tunaomba ututoe roho ya woga na tukutumaini wewe siku zote za maisha yetu

Tufundishe kukupenda ,kukutii,kukuheshimu maana itatujenga kuwa na Upendo kuwa watii na kujiheshimu daima.
Tunaomba toba kwa makosa yetu yote,na utusaidie tuwasamehe wale wote waliotukosea ili tusonge mbele.
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa na wote wanaopitia changamoto yoyote..WASIOGOPE.

ASANTE BABA KWA KUWA UTATUPA KUSHINDA
Naomba katika jina la Yesu Amen

SIKU NJEMA...MSIOGOPE
 
Leo katka Historia:

1967 - Rais Gamal Abdel Nasser wa Misri anaomba msaada wa majeshi ya kulinda amani ya Umoja wa Mataifa kuelekea kwenye vita ya siku 6 dhidi ya Israel.
ad3ce3146fa9768a3c2d15c92e413927.jpg
a6bb361ce28d64afb2fa7e1fc69bf31e.jpg

Ilijulikana kama 6 Day War ilikuwa ni vita kati ya Israel na Syria ila Waarabu wa Misri,Jordan na Iraq wakaamua kuunganisha nguvu ili kumsaidia mwarabu mwenzao lakini mwisho Wa siku wakaambulia vipigo
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom