BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Hakika tunapaswa kuchukua hatua za makusudi kutunza mazingira,yatutunze.NUKUU YA LEO
"Climate change is happening, humans are causing it, and i think this is perhaps the most serious environmental issue facing us ''
''Mabadiliko ya hali ya hewa yanatokea, binadamu ndiye anayeyasababisha na nina fikiri kuwa linaweza kuwa jambo zito la kimazingira linalotukabili''.
Haya maneno yalitamkwa Novermber 26 2016, na Mtangazaji na mwandisi wa masuala ya mitambo Bw. William Sanford Nye, alimaarufu kama bill nye the science guy.
Bill nyee alizaliwa November 27 1955 huko washington D.C nchini marekani.Billy nyee alikuwa ni mwandisi mitambo (mechanical Engineer) wa ndege za boeng kabla ya kuacha kazi hiyo na kuanza kurusha vipindi vya kuchekesha na sayansi wa watoto.
Bill nye ameandika vitabu vingi kama The big bag Theory, Dancing with stars n.k, jamii ya wamarekani inatambua sana mchango wako hasa kwa vipindi vya sayansi kwa watoto wadogo, hivyo alishapata tuzo kadhaa.
![]()
![]()
![]()
wakuu Tunzeni mazingira! mazingira yatawatunza.
Asante sana T wa Sakayo kwa Nukuu elimishi,kazi yako ni njema ubarikiwe,uwe na siku njema sana

ZABURI 133