Makapuku Forum

Makapuku Forum

Umaarufu wake unatokana na nini? Tunaupimaje umaarufu wa viongozi hawa? Na ni nani anayeamua kiongozi fulani awe maarufu? I am just curious kwa sababu mtu unaweza kujikuta unasema fulani ni kiongozi maarufu kwa sababu tu umesikia hivyo kwa marafiki na watu wanaokuzunguka.

Anyway, rafiki yake wa chanda na pete Compaore hakumtendea haki huyu kijana kwa kumuua kinyama na kumzika katika kifusi tena kwa kutumia greda la Halmashauri!
So sad,kwanini alimuua kinyama hivi?
 
Asante Mtumishi. Mikutano ilikuwa imenibana. Tunamaliza kesho na nitakuwa hapa nanyi bega kwa bega. Thanks for caring. You are indeed a woman of God!
Nimefurahi kusikia kutoka kwako ,nasikia sauti yenye nguvu na furaha Nehemia 8:10b ...The Joy of the Lord is your Strength..Mungu akusimamie katika kazi zako na urudi salama Barikiwa.
 
Hapana. Wanaogopa vijana wao kuwa corrupted na western values; na kuachana na dini yao. Media ndiyo njia kuu ya kueneza mawazo na ajenda za Kimagharibi. Ni sawa na sasa ambapo ushoga na usagaji unaenezwa kwa nguvu zote. Sema tu Wataliban wao walikwenda mbali zaidi na mbinu zao wali/nazotumia si za kibinadamu. The little fat boy wa North Korea yeye anatumia mbinu tofauti na anafanikiwa tu...
Oooh,asante
 
IMG-20170517-WA0016.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom