Makapuku Forum

Makapuku Forum

45fd550389eca378561ae64d12fc7537.jpg
Makauzu kichizi ila Kundi la Taleban linawasumbua

Pia Afghanistan ipo kwenyec10 bora ya nchi maskini
.......
Hao makauzu ni akina nani? Ningekuwa wewe nisingekimbilia kupachika watu hizi label - makauzu, mbumbumbu, wajinga...There is always a story behind the veil
 
Kuswali si wanakariri tu na kuimba kaswida ila wape walau gazeti wasome hawawezi

......
Gazeti liwasaidie nini? Quran inajitosheleza na hawahitaji gazeti ili kuendesha maisha yao. Wanalima poppy na wanavuta mkwanja wa kutosha hawahitaji gazeti wala nini. Na ukiwavamia hata uwe na silaha kali namna gani wanakunyosha tu.
 
Yeah. Ni wazuri sana katika uwanja huo kwa sababu hawana njia nyingine ya kujipatia umeme.

***Kwa nini inakuwa nongwa Waafrika tukiomba kusaidiana sisi kwa sisi? Ni lazima wataalamu wawe wazungu au Wachina? Waafrika sisi yaani ni shida tupu aisee!
Sikuwa nimewaonea nongwa, ila majanga na misukosuko mingi, lakini wanaweza kuthubutu
 
Aren't you overusing this phrase? I know it is an irrefutable fact that God is good all the time (assuming that someone is not an atheist and ignoring the philosophical + logical conundrums), copying somebody's unrelated post only to say "All the time God is good" is kind of weird and overreaching!
It's a signature bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom