Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170515-WA0000.jpg
 
Wakati mwingine nanyi matajiri mnapotaka kuajiri hata kama ni walinzi mfanye background check jamani. Hii itawaepusha na vioja kama hivi. Seriously, mlinzi wako huyo alikuwa kioja aisee. Na huyu ndiye ulimkabidhi uhai wa mkeo, na wanao? Una bahati sana!
khaaaa ame-take risky gani hapo mimi ndo nimeamua kwa akili zangu pasi na shuruti wala mtutu
 
Kunakucha. Tumshukuru Muumba wetu. Siku ya leo basi Muumba na Akatuwezeshe kutenda yaliyo mema machoni pake. Na zaidi ya yote tukaweze kuwasaidia wenzetu wenye shida ili kupitia kwetu wakaweze kuuonja upendo wa Muumba wao. Love you guys. I will be off the internet for at least 8 hrs.Tutaonana jioni Mungu Akipenda. Muwe na siku njema!
0609a5788e97caf1d7046752ad5d3248.jpg
tunakupenda pia nenda kajenge taifa
 
Aaaa wapi? Mlinzi mwenyewe alikuwa anapotea mpaka hata wiki haonekani lindoni. Sema tu nilihamishia "mashambulizi" Kigali na Uhabeshi. Hata sasa niko safarini kuelekea huko KIKAZI.
594335eb8ca86fd4bb24d69cc1fe40bf.jpg


kwaiyo ndo nime-take risky kuacha kazi sio
wewe ndo ulikuwa mstari wa mbele kunuchongea ati niachishwe kazi sasa nimeacha bado unang'aka ...
 
hahahaha...ha nazani saivi atakuwa huru sana msukuma make nilimbana mpaka salamu hadi awasiliane na mimi kwanza ...
Shunie ni mwanamke huru kifikra na kimtazamo. Heshima kwa mumewe haimzuii kusalimiana na kaka zake kisa eti kaogopa sime na marungu ya mlinzi - mlinzi mwenyewe mtoro. Come on man!
 


kwaiyo ndo nime-take risky kuacha kazi sio
wewe ndo ulikuwa mstari wa mbele kunuchongea ati niachishwe kazi sasa nimeacha bado unang'aka ...
Karibu Addis Ababa ujionee Wahabesh. Tena hapa ofisi za AU wanatafuta walinzi. Shida ni lazima wawe ex military au police. Sasa wewe na hizo sime na marungu sijui kama uta-qualify. Kama unataka kujaribu sema nikupe link ya application ujaribu. You never know. Nitakupa review nzuri wakitaka reference.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom